kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
kutoa hela imekua anasa makato ni makubwa app za mikopo kurejesha usikatwe na ya kutuma
Kutoa hela imekua ni anasa sana na gharama ni kubwa sana haya matigopesa,mpesa,airtelmane,yamegeuka kuwa vichinjio kwa wananchi
Mtu anatoa 5000 mnamkata buku
Mtu anatoa 3000 mnakata 600
Kwanini kusiwe na kanuni kwamba kutoa kuanzia 0 hadi 10000 iwe bure?
Kwanini biashara ya miamala makampuni yawanyonye watu kiasi hiki?Kwamba watu wanakamuliwa tu halafu mamlaka husika wamekaa kimya
Kingine ni app za mikopo na marejesho yake mfano unakuta mtu kakopa elfu 5 branch ila kurejesha anatakiwa arejeshe 6000 halaf kutuma kutoka mtandao husika tu branch ada ya kutuma wanakukata elfu 2 means unatakiwa uwe na 8000 hivi kwa hali hii tutakaa tuendelee kweli?
Hiyo sio hivyo tu unakopa 5000 branch au mpawa bado ukitoa unakatwa
Kwanini kusiwe na kanuni kwamba pesa zote tunazokopa kwenye app za mikopo zisiwe na makato ya kutoa au makato ya kutuma wakati wa kurudisha deni?
Hili linawezekana kbs mfano kuna makampuni ya visimbusi yana makubaliano na kampuni za simu kwamba ukilipia makato ni 0 yaani hakuna makato
Nawasilisha
Kutoa hela imekua ni anasa sana na gharama ni kubwa sana haya matigopesa,mpesa,airtelmane,yamegeuka kuwa vichinjio kwa wananchi
Mtu anatoa 5000 mnamkata buku
Mtu anatoa 3000 mnakata 600
Kwanini kusiwe na kanuni kwamba kutoa kuanzia 0 hadi 10000 iwe bure?
Kwanini biashara ya miamala makampuni yawanyonye watu kiasi hiki?Kwamba watu wanakamuliwa tu halafu mamlaka husika wamekaa kimya
Kingine ni app za mikopo na marejesho yake mfano unakuta mtu kakopa elfu 5 branch ila kurejesha anatakiwa arejeshe 6000 halaf kutuma kutoka mtandao husika tu branch ada ya kutuma wanakukata elfu 2 means unatakiwa uwe na 8000 hivi kwa hali hii tutakaa tuendelee kweli?
Hiyo sio hivyo tu unakopa 5000 branch au mpawa bado ukitoa unakatwa
Kwanini kusiwe na kanuni kwamba pesa zote tunazokopa kwenye app za mikopo zisiwe na makato ya kutoa au makato ya kutuma wakati wa kurudisha deni?
Hili linawezekana kbs mfano kuna makampuni ya visimbusi yana makubaliano na kampuni za simu kwamba ukilipia makato ni 0 yaani hakuna makato
Nawasilisha