hakuna madhara yoyote.na wale wanaosema kuna madhara ni maajenti wa shetani tu wanatumiwa ili waamasishe uzinzi na zinaaa duniani ila mungu akumuumba mtu iliapate shida kwa kufanya au kutofanya kitendo hicho na vitabu vyote vya dini vinasema hivyo.nawasilishawadau naomba kujulishwa je kutofanya mapenzi(kutojitoa kabisa tangu utoto had ukubwani) kuna madhara yoyote kiafya? Nawasilisha.
hakuna madhara yoyote.na wale wanaosema kuna madhara ni maajenti wa shetani tu wanatumiwa ili waamasishe uzinzi na zinaaa duniani ila mungu akumuumba mtu iliapate shida kwa kufanya au kutofanya kitendo hicho na vitabu vyote vya dini vinasema hivyo.nawasilisha
tupe ushahidi wako?haina madhara
mkuu mbona kama vile unahubiri? Toka shetani.....nasema toooooooooka shetani
ma free masons wapo hadi humu!! tumevamiwa!!
Mkuu humu ndani ya Jamii forums kuna Walokole na Tabia ya walokole huwa hawajifichi popote tu wao hutangaza mambo yao ya Dini. Mimi ninasema tena hili ni jukwaa la J.F Doctor hatutaki mambo ya dini humu kwenye hili jukwaa la J.F. doctor Msituchanganye akili zetu . Mkuu Moderator ukiona mtu analeta mambo ya dini kwenye hili jukwaa la J.F doctor nakuomba bora umufungie asiweze Kuingia kwenye hili jukwaaa ukitaka mambo ya dini Tafadhali nenda hapa bonyeza https://www.jamiiforums.com/dini-imani/aisee! Itabidi unilipie bili ya hospital, maana umenivunja mbavu zangu zoote!
Miaka 40 mkuu?.....sio hali ya kawaida hiyo, unless otherwise mtu yupo addicted na tabia zingine zinazomridhisha kihisiA.Haina Madhara mi nina miaka 40 sijawahi fanya hata mara moja na bado nakomaa tu.....