Kutiwa nguvuni Mbowe isiwe sababu ya kukata tamaa. Tujipange tuwe na CHADEMA isiyokuwa mali ya watu

Naomba usitake nikutukane! Nakusihi sana, sijawahi kukuona ukizungumzia mambo ya Tozo, kupanda hovyo kwa bei za vitu, kila siku unawashwawashwa tu na Freeman.
Bei za tozo wakati zinawasilishwa wewe ulikuwa umeungana na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa mond kwenye tuzo za bet..

Sasa hivi imekuwa sheria ndio unajifanya kustuka
 
Bei za tozo wakati zinawasilishwa wewe ulikuwa umeungana na kina Lisu kusaini petition ya kumtoa mond kwenye tuzo za bet..

Sasa hivi imekuwa sheria ndio unajifanya kustuka
Yes, kwakua sina Mbunge Bungeni, hilo ni jukumu la CCM 100% ulitaka niandamane? Acheni ujinga bebeni mzigo wenu wa aibu wenyewe
 
  • Thanks
Reactions: cmp
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima. Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo. Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Una akili Sana,ingawa zinakutosha wewe tu.
 
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima. Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo. Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Tuondolee ukhanithi wako wa kiccm hapa
 
Najua ukweli wangu huwa unawachukiza. Lakini fitina kwangu mwiko nitasema kweli daima. Chama chetu ni mali ya watu binafsi. Ni mali ya watu ambao wakiwa hawapo kila kitu kinakwama.

Sasa Chairman yupo kunyavu. Kila kitu kipo likizo. Tusikate tamaa tuabadili mfumo wa Chama chetu.

My take: Sidhani kama chuo cha Mtei political academy kina umuhimu kwa muktadha wa chama chetu. Mwamba ni mbinafsi sana.
Huitakii mema nchi hii.
 
Yes, kwakua sina Mbunge Bungeni, hilo ni jukumu la CCM 100% ulitaka niandamane? Acheni ujinga bebeni mzigo wenu wa aibu wenyewe
For the first time ndo leo nimekutana na mtu aliyekuwa verified mwenye akili sawasawa.Keep it up
 
Back
Top Bottom