Mhache
JF-Expert Member
- Jun 20, 2008
- 345
- 24
Nilihidhuria senf-off moja. Mshereheshaji alikoga roho ya kila mmoja aliyehuduria send-off hiyo. Mmoja wa wazazi alipopewa wasaa wa kutoa nasaha alisema yafuatayo. Mke kazi yake ni KUTII. Ina maana ni kumtii mume wake na wengine. Wakati mume jukumu lake ni KUPENDA. Mtoa nasaha alimaliza nasaha zake kwa kusema kupenda ndio kazi kubwa na ngumu. Kwa maana hiyo mwanaume ndie mwenye kazi kubwa. Wanajamii forum mnasemaje kuhusiana na kazi hizo mbili KUTII na KUPENDA? Nawasubiri ndani ya jamii forums.