Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Mimi siamini kama kuna mtanzania anayejua ni nani chaguo la watanzania katika kura za Uraisi na uchakachuaji umefanywa na NEC wakishirikiana na wasimamizi wa uchaguzi majimboni............
Majimbo mengi hata idadi ya waliopigakura ya Uraisi ni kidogo ukilinganisha na idadi ya kura za wabunge kwenye majimbo hayo hayo...........there is something fishy here........ na jinsi ya kumpa uhalali huyo atakayekuwa Raisi wetu na asionekane ni matunda ya uchakachuaji Chadema ni vyema ikadi maboksi yote ya kura yarudiwe kuhesabiwa na haki iweze kutendeka na kuonekana ikitendeka..................
Haki hii Chadema wakaidai mahakama kuu ili kuilinda demokrasia yetu ambayo CCM sasa inaihatarisha mno na hata kutishia amani na usalama wetu.......................
Hatua hii itasaidia uanzishwaji wa TUME HURU ya uchaguzi......vinginevyo kila uchaguzi tutabaki kusononeka kuishia kuongozwa na viongozi ambao siyo chaguo la wengi hata chembe..................
Majimbo mengi hata idadi ya waliopigakura ya Uraisi ni kidogo ukilinganisha na idadi ya kura za wabunge kwenye majimbo hayo hayo...........there is something fishy here........ na jinsi ya kumpa uhalali huyo atakayekuwa Raisi wetu na asionekane ni matunda ya uchakachuaji Chadema ni vyema ikadi maboksi yote ya kura yarudiwe kuhesabiwa na haki iweze kutendeka na kuonekana ikitendeka..................
Haki hii Chadema wakaidai mahakama kuu ili kuilinda demokrasia yetu ambayo CCM sasa inaihatarisha mno na hata kutishia amani na usalama wetu.......................
Hatua hii itasaidia uanzishwaji wa TUME HURU ya uchaguzi......vinginevyo kila uchaguzi tutabaki kusononeka kuishia kuongozwa na viongozi ambao siyo chaguo la wengi hata chembe..................