Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,366
- 217,411
Mkongwe Maua Daftari ameteuliwa kuwa Kamishna wa Maadili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar , uteuzi huo umetangazwa na Rais wa Nchi hiyo Dkt Hussein Mwinyi .
Sina shaka na Maua Daftari , lakini ninajiuliza , hivi hakuna vijana wanaoweza kufanya kazi hizi za umma ? Hivi ni lazima tuendelee kuzungusha hawa vikongwe wa Tangu Nyerere kwenye kila Taasisi ? mbona yeye Hussein aliaminiwa akiwa kijana , kwanini anashindwa kuwaamini vijana wenzake , au ana roho mbaya ?
Nawalilia sana Vijana wasomi wa Tanzania ambao nafasi zenu zimezibwa na vikongwe , tegemeo lenu ni Mungu pekee
Nawatakia IDD njema
Sina shaka na Maua Daftari , lakini ninajiuliza , hivi hakuna vijana wanaoweza kufanya kazi hizi za umma ? Hivi ni lazima tuendelee kuzungusha hawa vikongwe wa Tangu Nyerere kwenye kila Taasisi ? mbona yeye Hussein aliaminiwa akiwa kijana , kwanini anashindwa kuwaamini vijana wenzake , au ana roho mbaya ?
Nawalilia sana Vijana wasomi wa Tanzania ambao nafasi zenu zimezibwa na vikongwe , tegemeo lenu ni Mungu pekee
Nawatakia IDD njema