From Lumumba streetAcha aendelee kuteua tu huoni UCHUMI UNAVYOPAA, UTALII JUU, HUDUMA ZA AFYA KAMA ULAYA, MAJI BWERERE HADI VIJIJINI, UCHUMI WA MWANANCHI MMOJA MMOJA UNAKUWA KWA KASI?
Ni kweli. Ndio maana chadema Mwenyekiti form six ziro. Wabunge kama Lema, Sugu, Prof. Jay, Mnyika, Kubenea, kutaja wachache elimu yao ni magumashi kwasababu hawataki wasomi.Binafsi huwa najiuliza, hivi dhana nzima ya kujaza madokta na maprofesa kwenye safu yake ya uongozi kunaleta tija gani?
Je, hao wana utaalamu wa kutosha kufanya kile wanachotakiwa kufanya? Au ni waaminifu katika utendaji wao?
Isitoshe wengi ya hao wanaoteuliwa wametolewa kwenye taasisi za elimu ya juu hususani vyuo vikuu.
Ukiangalia idadi ya madokta na maprofesa wanaohitajika katika vyuo vikuu Tanzania ni kubwa mno.
Binafsi nawafahamu waalimu wa chuo kikuu walioteuliwa kuongoza taasisi mbalimbali. Na wengi wamebobea katika nyanja ambazo utaalamu wao unahitajika kwa hali na mali hususani kwenye kufundisha na kufanya utafuti.
Muda wa kufanya tafiti na kuandika machapisho hawataupata tena.
Ni rai yangu kuwa JPM aachane na hii kasumba. Watu anaowahitaji sana sana ni watendaji ambao sio lazima wawe na elimu ya kutisha kama hawa watu.
Hawa watu wanahitajika vyuoni mwetu ambapo kuna uhaba mkubwa wa walimu na watafiti.
Kwahio unakubaliana na mimi kuwa hawa watu wanatakiwa kurudi vyuoni?Madokta na Maprofesa ninaowaamini ni wa kutoka Ulaya, Asia na Middle East ( hasa Israel ) tu pekee ila wa huku Afrika hasa hapa kwetu Tanzania nadhani hata Mimi mwenye Elimu yangu ya kutukuka kabisa ya darasa la Saba ( 7 ) ninawazidi kwa mambo mengi / vitu vingi.
Au amesomea mambo ya Adminstration.Nilipokuwa mdogo nilikuwa nadhani mtu akiitwa Professa au Dokta
maana yake 'ana elimu kubwa sana'
au anajua 'maambo meengi sana'
Kumbe ni tofauti.....
Actually proffesa au mtu mwenye PhD ni yule ambae
kwenye taaluma yake fulani amesoma zaidi au kufanya tafiti zaidi
Hii ina maana mtu mfano kasomea udaktari wa mifugo
akija kuwa professa sanasana anakuwa ana specialize na kitu kimoja tu
kwenye masuala ya afya ya mifugo
tena wala sio afya ya mifugo kwa ujumla....
labda Phd yake inahusu nutrition only..
Sasa mtu huyu kweli unakuja kumpa uwaziri wa Afya si unamuonea?
masuala ya management uzoefu ni kuhimu zaidi
na sio tu kila mwenye Phd basi ni manager
Au amesomea mambo ya Adminstration.
Mfano Msajili wa hazina unapeleka mtu mwenye Phd.
Hiyo ni misallocation ya resources.
Karibu kwa mchango wako mkuu.
Kwahio unakubaliana na mimi kuwa hawa watu wanatakiwa kurudi vyuoni?
Well said!!!Ni kweli utendaji na uadilifu haupimwi kwa kuwa Profesa. Wapo maprofesa wavivu na mafisadi wa kutosha nchini.
Binafsi huwa najiuliza, hivi dhana nzima ya kujaza madokta na maprofesa kwenye safu yake ya uongozi kunaleta tija gani?
Je, hao wana utaalamu wa kutosha kufanya kile wanachotakiwa kufanya? Au ni waaminifu katika utendaji wao?
Isitoshe wengi ya hao wanaoteuliwa wametolewa kwenye taasisi za elimu ya juu hususani vyuo vikuu.
Ukiangalia idadi ya madokta na maprofesa wanaohitajika katika vyuo vikuu Tanzania ni kubwa mno.
Binafsi nawafahamu waalimu wa chuo kikuu walioteuliwa kuongoza taasisi mbalimbali. Na wengi wamebobea katika nyanja ambazo utaalamu wao unahitajika kwa hali na mali hususani kwenye kufundisha na kufanya utafuti.
Muda wa kufanya tafiti na kuandika machapisho hawataupata tena.
Ni rai yangu kuwa JPM aachane na hii kasumba. Watu anaowahitaji sana sana ni watendaji ambao sio lazima wawe na elimu ya kutisha kama hawa watu.
Hawa watu wanahitajika vyuoni mwetu ambapo kuna uhaba mkubwa wa walimu na watafiti.
Well said mkuu.Sisi tunadhani mtu akiwa na Phd ndio kamaliza. Unless ya management or hrm sidhani kama wengine wanaweza ruka to the top bila ya experience at lower levels decision making ndio maana uishia kuwa washauri tu wengi wao kwa sababu za kukosa management experience.
OMG: vibabu vinafelisha-vibabu na degree za chupi-vijana wana weledi hii nimeipenda ingawapo inaukinzani sana hasa hizo mbili za mwisho labda tanzania ina vibabu vikali sana kuliko vijana!!!TafakuriAcha JPM avitoe hivi vibabu, vinafanya shule iwe ngumu kazi kufelisha watoto, hukusikia sakata la degree za chupi? bora aviondoe tupate wahadhiri vijana wenye weledi, ukienda kenya kuna maprofesa wana miaka thelathini tu, tunahitaji UDSM mpya yenye wahadhiri wenye fikra mpya, hawa walioteuliwa wakirudi 2020 wanakuta vijana walishalisimika maofisini.