galimanywa
Member
- Apr 6, 2012
- 86
- 26
hii ya ukerewe imekaaje? Hebu itolewe ufafanuzi maana ni kweli ni gazeti la mtanzania ndilo lililochapisha kwa kirefu habari ya kuwepo kwa chuo cha ugaidi huko ukerewe
hii yote ni kupoteza ukweli tu, CDM ndio wahusika wa hii kitu mbaya na wanataka kupoteza watu na hii gia ya riz1.
|
| |
|
waseme nini wakti wao ndio wahusikaKwanin chama kilichoongoza kutoa matamko kwenye media kuhusiana na tukio la ulimboka wapo kimya kwenye tukio hili la kutekwa na kupigwa kwa Absalom Kibanda ????.wapi mnyika,slaa,mbowe,mbilinyi,lema,msingwa,wenje,heche???
We ndo unajua ukweli co,bashe nae ni mpotoshaji alivyomwambia Riz aache kutumia vibaya mageti ya ikulu?mbona huyazungumzii magazeti yenu ya kufungia vitumbua uhuru na mzalendo yanavyoandika habari kishabiki.
nimesoma gazeti la tz daima la leo ukweli nimelitoa thamani hili gazeti tena sana ni bora hata magazeti ya udaku lakini hili gazeti liko moja kwa moja kwenye mfumo wa uchochezi na kupindisha ukweli wa mambo.. kwanza napata tabu na elimu ya mhariri wa gazeti la tz daima kama kweli anaweledi wa uandishi wa habari au ni kachanjanja tu anaandika kinachoelekezwa na mwenye gazeti hilo .............. kwenye mtandao wa fb wengi na wapo watu wanaingia na id ya majina ya watu wengine na majina mengine ni ya kutunga .... leo habari ambayo huna uhakika kama ni ridhiwani au nape kasema unakuja kuiweka kwenye ukurasa wa mbele na ref yake facebook!!!!!! hata kama tz daima liko kisiasa kwa ajili ya kuipaisha chadema lakini kuna umuhimu wa kuhakiki habari mnazozitoa .... juzi juzi wametoka omba radha kwa taarifa ya uongo kuhusu kufukuzwa kwa mwema,nchimbi wasira... na taarifa nyingi za uongo mwindishi anakuw ni" na waandishi wetu"
na Waandishi wetu
TUKIO la kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa vibaya kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) Absalom Kibanda usiku wa kuamkia Jumatano wiki hii, limechukua sura mpya baada ya mtu aliyejitambulisha kama Ridhiwani Kikwete akitumia ukurasa wake wa mtandao wa facebook kutoa maneno ya kejeli, akihoji kama nae ametekwa na Ikulu.