Kuteswa kwa Kibanda: Kubenea aliumbua Jukwaa la Wahariri (TEF)

Status
Not open for further replies.
sijawahi kumkubali kubenea hata siku moja maana, kuna wakati alitumika sana kumchafua zitto, akajakuhamia kwa membe akamchafua sana, akatoka hapo akahamia kwa kwa lowassa, akamwandika saaaana.... huyu jamaa huwa anabadilika kutoka na ufadhili anaopata wala haandiki ukweli kama ambavyo jamii inamtizama. take time to make your brain busy to think all these events

Mkuu: Kuwachafua au kuwaambia ukweli? hao wote uliotaja ni maadui wakubwa wa ukombozi wa Watz. Be careful please! Kubenea hana mpaka, hana swahiba. Hata Mengi walikorofishana kwa kuwa alionekana kutomkosoa JK kuhusu ufisadi serikalini.
 
Mwanahalisi litafunguliwa mwakani baada ya katiba mpya itakayofuta ulevi huu wa madaraka; "Eti waziri analifungia gazeti kwa muda usiojulikana!"

Ipo siku wote tutajutia makosa yetu ya kutosimama kidete kumtetea Kubenea na Gazeti lake!
 
Kibanda alikua Tanzania daima, na aliandika mambo mengi sana yanayo gusa maisha/mali zao hasa mamil ya uswisi . Wakaona tukimfanyizia akiwa kule itakua rahisi kugundulika. ikabidi wamuhonge ili ahamie kwa bashe ili kuficha ushahidi. Hapa inabidi tuanze na walio tumia nguvu nyingi ya pesa kumtoa alikokua na kumleta kwao wakati alikua anawachafua. chezea mafia wa tanzania wewe?. kwani TD alikokuwa aliondoka na nini hadi wamuue? kadhulumu? anadaiwa? alikua na uspecial gani pale hadi apotezewe maisha?. mia
 
wewe ni mchanga sana katika siasa za hapa tanzania, so u better keep quiet
Wewe mkongwe wa Civics vipi mbona mkali sana, kwani ulikuwa umeishayachoma madaftari yako. Kuna tetesi mnaweza kurudia ile pepa yenu. Au unaendeleza yale madai ya kuwa mnaenda fb na kwenye P**no kuliko masomo ila nakuona mgeni hapa usijesingizia Jf hata kidogo. formfourliver2012Today 16:37
#38
Junior MemberArray
Join Date : 1st March 2013
 
wewe ni mchanga sana katika siasa za hapa tanzania, so u better keep quiet

Haha..ndio unachoniambia?bado mpo ktk fikra za hizo.Kuwa kila anayemkubali Nyerere kuwa baba w ataif ahajui historia, kila naye question ushujaa wa akiana abushiri, milambo, fundikira, wayao, mkwawa ,basi hajui historia.Sasa umekuja na hii tena.katumie ku silence walipata vilema vya akili.Siasa zipi zipo bongo ?Za CCM wenyewe wanazizita siasa za maji taka.Kwanini wasiziite "maji taka kwa uhasilia wake ".nanai kakakuambia mimi nahitaji kuwa champion of maji taka.

Mimi Naongelea Freedom wewe unongelea Siasa. Obviously you are in a wrong entry.
 
TEF imejaa wenye njaa tuu, mnakumbuka maandamano ya waandishi kupinga mauaji ya mwangosi....
 
Umenena ukweli mtupu mkuu: TEF hamna kitu pale -- badala ya kuwa nyuma ya Kubenea kuibana serikali kuhusu kuteswa kwa Ulimboka, ilianza kumuandama Kubenea eti alikiuka maadili na hapo hapo 'watesaji" wakapata nguvu na hivyo kurudia vitendo vyao.

TEF imebakia Jukwaa la kupokea bahasha za posho -- kutoka taasisi mbali mbali za serikali hususan NSSF. Ndiyo maana hatusomi habari negative za NSSF huku wakati kuna madudu mengi tu -- wanachama michango yao haipelekwi wakati NSSF inakaa kimya bila kuwachukulia hatua waajiri.

Ufisadi wa mwisho kuusikia wa NSSF ni ule wa Magodown ya Ubungo na Manjni, tangu hapo hakuna kibaya kinachoandikwa dhidi ya taasisi hiyo.

Umenikumbusha mbali kweli maana hata siye ni kitambo mpaka tumetoka ila bado hatujawekewa mshiko wetu na Taasisi ya Nishati ya TaTEDO miezi zaidi ya 18 hivi kimya tuuuuuuu awajamaa sijui vipi maana nasikia wanaendaga tu hapo ila wanasomeshwa tu. Nchi hii hipo siku isiyo na jina tutapata ukombozi tu
 
unafiki mtupu, siku zote kubenea yupo sahihi ndio ,maana gazeti lake linafungiwa na serikali
 
Hakupuuza, wala haukuwa "msimamo wa ajabu." Kuandika ushahidi wa maovu yanayodhaminiwa na Usalama wa Taifa na kukataa kuomba msamaha ni uzalendo, sio "msimamo wa ajabu!" Please!


Mkuu hujaelewa vizuri, alichomaanisha ni kwamba msimamo wa ajabu ulikuwa ni wa TEF, na ndio huo ambao Kubenea aliupuuza na kususia vikao.
 
sijawahi kumkubali kubenea hata siku moja maana, kuna wakati alitumika sana kumchafua zitto, akajakuhamia kwa membe akamchafua sana, akatoka hapo akahamia kwa kwa lowassa, akamwandika saaaana.... huyu jamaa huwa anabadilika kutoka na ufadhili anaopata wala haandiki ukweli kama ambavyo jamii inamtizama. take time to make your brain busy to think all these events


Kama aliwaandika

ZITTO
MEMBE
LOWASA

basi naona Kubenea ni mwandishi asiyefungamana na upande wowote, ila wewe Mkuu Formfourliver naona unafungamana na mmojawapo ya aliowaumbua hapo juu ndio maana humpendi Kubenea.
 
Nadhani kama ni kweli labda Mungu anataka kutoa somo kwa hawa watu wanakuwa wanafiki. Ngoja tuone hao wahariri watasema nini kwa hili, japo wameanza kuonyesha kuwa wanahisi Kibanda amefanyiziwa na wabaya wake na hasa kwa yale anayoyaandika, hii ni kulingana na maneno ya Theofilo Makunga.
 
Kwani nani asiyejua ya
kuwa jukwaa la wahariri nchini (TEF) linatumiwa na mafisadi. Acheni
porojo Saed Kubenea ile ni number nyingine, ndo maana hata mafisadi
pamoja na fedha zao za Uswis wameshindwa kumthibiti, na hivyo kubaki na
option either ya kumuua au kulifungia gazeti lake kwa mda usio
fahamika.

Ndio maana mnaojiita wapinga ufisadi mkipata suport ya kile chama chetu mkaamua ku
 
umewaza vyema.wengi wa hoa mabwana ni waoga na wanafiki wasio na msimamo.wnapaswa kujifunza ujasiri sasa kwani hata wasio andika za ulimboka wapo matatizoni sasa.wana adui mmoja ila kwa ujinga wanagawanyika

Hao ni sawa na falsafa ya mtego wa panya hunasa wale wanaodhani wao hauwahusu.....TEF si wanataka UDC kutoka kwa CCM
 
Kibanda alikua Tanzania daima, na aliandika mambo mengi sana yanayo gusa maisha/mali zao hasa mamil ya uswisi . Wakaona tukimfanyizia akiwa kule itakua rahisi kugundulika. ikabidi wamuhonge ili ahamie kwa bashe ili kuficha ushahidi. Hapa inabidi tuanze na walio tumia nguvu nyingi ya pesa kumtoa alikokua na kumleta kwao wakati alikua anawachafua. chezea mafia wa tanzania wewe?. kwani TD alikokuwa aliondoka na nini hadi wamuue? kadhulumu? anadaiwa? alikua na uspecial gani pale hadi apotezewe maisha?. mia


[h=1]NAPE ATEMBELEA MAGAZETI YA TANZANIA DAIMA[/h]by John Bukuku on July 4, 2011 in SIASA with No comments Tweet
Katibu wa Nec, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akizungumza na viongozi wa magazeti ya kampuni ya Free Media Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Tanzania Daima na Sayari, alipotembelea ofisi za magazeti hiyo mjini Dar es Salaam. 4/7/2007. Kulia ni Mhaririri Mtendaji wa Kampuni hiyo, Absalom Kibanda.

Katibu wa Nec, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akizungumza na Mhariri Mtendaji wa magazeti ya Kampuni ya Free Media Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Tanzania Daima na Sayari, Absalom Kibanda alipotembelea ofisi za magazeti hiyo mjini Dar es Salaam. 4/7/2007. Kushoto ni Naibu Mhariri Mtendaji wa kampuni hiyo, Asbert Ngurumo
Nape akimsalimia mpigapicha mwandamizi wa kampuni ya Free Media. Francis Dande wakati wa ziara hiyo. Wapili kulia ni Mhariri Mtendaji wa kampuni hiyo Absalom Kibanda
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akiagana na Mhariri Mtendaji wa Free Media Ltd, Absalom Kibanda baada ya ziara katika ofisi za kampuni hiyo 4/7/2011. Katikati ni Naibu Mhariri Mtendaji wa kampuni hiyo Asbert Ngurumo.
 
Kama aliwaandika

ZITTO
MEMBE
LOWASA

basi naona Kubenea ni mwandishi asiyefungamana na upande wowote, ila wewe Mkuu Formfourliver naona unafungamana na mmojawapo ya aliowaumbua hapo juu ndio maana humpendi Kubenea.

Kubenea very LIBERAL hana rafiki kwenye maslahi ya nchi.....tunataka mwanahalisi lifunguliwe litafanya tafiti ya maana zaidi kuliko hao POLICCM wa kova
 
sijawahi kumkubali kubenea hata siku moja maana, kuna wakati alitumika sana kumchafua zitto, akajakuhamia kwa membe akamchafua sana, akatoka hapo akahamia kwa kwa lowassa, akamwandika saaaana.... huyu jamaa huwa anabadilika kutoka na ufadhili anaopata wala haandiki ukweli kama ambavyo jamii inamtizama. take time to make your brain busy to think all these events

mbna povu linakutoka kumponda kubenea.?
jamaa alikupumulia shngon nin alaf hakukupa ela.?

kwel wewe n 4m4 liver..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom