Kama ni biashara ya ujambazi, basi asubiri RISASI TATU siyo milioni 3!Huwezi kutengeneza milioni 3 ndani ya mwezi mmoja from zero capital labda uwe jambazi
Achukue huu ushauri lakini tatzo lake anataka milion tatu ndani ya mwezi,Amka asubuhi nenda machinjioni nunua nyama za mafungu njoo mtaani kwako tengeneza supu safi uza kuanzia hiyo asubuhi hadi jioni kwa bei rahisi.
Baada ya miezi 3 au 4 njoo unishukuru
Betting ......mm nina mtaji wa milion 5 hapa nawaza nifanye biashara gani ya kuniingizia 1 milion kila mwezi
msaada tafadhali..
Azam jana angechana huu mkekaChukua hiyo 500k tia jamvi
Yanga_win
Liverpool_win
Azam_Draw
Sherrif_Mpe handicap
Utakuja kunishukuru baadae
dogo niPM haina haja ya lak5 yako njoo nikupe mchongo from zero
tupia hapa mkuu tufaidike wengidogo niPM haina haja ya lak5 yako njoo nikupe mchongo from zero
Naona Ajax kakuchania mkekaChukua hiyo laki tano weka mkeka.
19/10 Ajax vs Dortmund - Draw
24/10 Man U vs Liverpool - Liverpool win
Utakuwa na zaidi ya million 3 ndani ya siku 6.
Leta madini mkuuKuna kipindi huwa nawish kuwashawishi vijana wawekeze kwenye uvuvi lkn huwa nagundua kuwa wengi wetu hatuna ndoto za kutoka mijini.
Intelegent quiz hakuna kisichowezekana duniani,ipo njia ispokuwa utakuta ni mchongo wa mtu fulani mchoyo,wapo watu au mtu ambaye namfahamu hutoka asb na laki 3 tu na kuingia nayo kariakoo,jioni hurudi na laki 5,anapiga mishe gani hasemi hata kidogo.Wakuu naamini umu kuna manguli wa utafutaji.
Nina shida na million 3 baada ya mwezi mmoja ili nifanyie uwekezaji fulani.
Kwa sasa nna laki tano nataka izae million 3 ndani ya mwezi mmoja kwa kuwa sikopesheki inabidi nipambane mwenyewe.
Nisaidieni uzoefu mbinu gani naweza tumia ya halali ili nizalishe million 3?
Nipe mawazo yenye uhalisia nitafanyia kazi.