Jinsi ya kutengeneza apps za android

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wakuu hasa wataalam wa maprogramming.

Nataka kujaribu kutengeneza app ya android na specificaaly app ya Ramani(gogle map) ya Tanzania au dar Es salaam ambayo nitauwa nime icustomise.

Pamoja na ku gooogle naomba wataaam na wajuvi wenye practical experince mnifahamishe juu ya nyenzo zinazotakiwa , na mengineyo. jinsi ya kutengeza apps za android.
=========

Habari wana JF, Heri ya Karume Day na kwa ufupi sana ningependa kuwakaribisha kwenye makala hii fupi ya jinsi ya kutengeneza app za android bila kuwa na ujuzi wowote. Kumbuka makala hizi zinapatika Tanzania Tech hivyo kama ungependa kujifunza zaidi basi nakusihi kuangalia Tovuti yetu unaweza kujifunza mapya kuhusu teknolojia!

Basi kwa ufupi ningependa kusema kuwa somo letu litakuwa kwa njia ya video hii ni kutokana na kuwa ni rahisi kufuata vitendo na kila kitu kime elezwa vizuri zaidi kuliko hata maelezo yenyewe, lakini pia kama wewe ungependa kusoma maelezo basi unaweza kutembelea hapa na utakuta maelezo yote yanayo usiana na jinsi ya kutengeneza app za android bila kuwa na ujuzi wowote. I Hope hii itakusaidia kwa namna moja ama nyingine, kama una swali ushauri au chochote tuandikie hapo chini nasi tutakujibu hapo hapo..... I Hope You Enjoy it!!!

 
Wakuu hasa wataalam wa maprogramming.

Nataka kujaribu kutengeneza app ya android na specificaaly app ya Ramani(gogle map) ya Tanzania au dar Es salaam ambayo nitauwa nime icustomise.

Pamoja na ku gooogle naomba wataaam na wajuvi wenye practical experince mnifahamishe juu ya nyenzo zinazotakiwa , na mengineyo. jinsi ya kutengeza apps za android.
Kwa uelewa mdogo nilionao juu ya hiyo kitu inabidi uwe na development framework eg, eclipse.. pia uongeze na extensions nyingine kwa ajili ya simulation ya apps utakazokua unatengeneza... kama hautojali nitumie email yako nikupatie kitabu ambacho kina maelekezo ya awali
 
Kwa uelewa mdogo nilionao juu ya hiyo kitu inabidi uwe na development framework eg, eclipse.. pia uongeze na extensions nyingine kwa ajili ya simulation ya apps utakazokua unatengeneza... kama hautojali nitumie email yako nikupatie kitabu ambacho kina maelekezo ya awali

na mimi naomba unisukumie hicho kitabu.
E mail:- bujibuji@jamiiforums.com
 
Nenda kwenye Android developer website.kuna info na APIs za kukuwezesha kutengeneza hizo Applications
 
Nenda kwenye Android developer website.kuna info na APIs za kukuwezesha kutengeneza hizo Applications
Vijana unganeni mtengeneze vitu ambavyo vinaweza kuingia kwenye soko mkiwa na intellectual rights (hatimiliki) ili mfaidike. Wenzenu Kenya na Uganda wanaweza kwa nini nyie Wabongo hatuoni mambo yenu? Au ndiyo matokeo ya elimu duni au ni uvivu?
 
Nenda kwenye Android developer website.kuna info na APIs za kukuwezesha kutengeneza hizo Applications
Aksante mkuu
Unaweza kutoa ushauri kwa sasa device nyingi za android zinatumia platform version gani? Naona kuna Platform kama nne na kila moja ina version kama tatu hivi. . So kwa development ni platform gani inatakiwa kutumika 2, 3, 4

Kwa uelewa mdogo nilionao juu ya hiyo kitu inabidi uwe na development framework eg, eclipse.. pia uongeze na extensions nyingine kwa ajili ya simulation ya apps utakazokua unatengeneza... kama hautojali nitumie email yako nikupatie kitabu ambacho kina maelekezo ya awali

Nimeutumia mail ila kama hutajali kibandike pia kwenye file sharing kama mediafire au megaupload
 
Vijana unganeni mtengeneze vitu ambavyo vinaweza kuingia kwenye soko mkiwa na intellectual rights (hatimiliki) ili mfaidike. Wenzenu Kenya na Uganda wanaweza kwa nini nyie Wabongo hatuoni mambo yenu? Au ndiyo matokeo ya elimu duni au ni uvivu?
Bado tunajadili kujivua magamba
 
Site ya Google ya Android Android Developers

YouTube kuna video nyingi za programming for Android.

Stackoverflow.com kwa maswali na majibu.

Kama haujui Java ni muhimu kujifunza Java kabla ya kuanza na Android.

Mwisho niseme biashara ya Apps ni ngumu sana, lakini kila la heri.

Edit: Target 2.1, jinsi Android ilivyotengenezwa ni kwamba ukilenga version ya chini itafanya kazi kwenye version yoyote ya juu na ukilenga 2.1 unakuwa umecover kama 98% ya market. Platform Versions | Android Developers
 
Vijana unganeni mtengeneze vitu ambavyo vinaweza kuingia kwenye soko mkiwa na intellectual rights (hatimiliki) ili mfaidike. Wenzenu Kenya na Uganda wanaweza kwa nini nyie Wabongo hatuoni mambo yenu? Au ndiyo matokeo ya elimu duni au ni uvivu?

Wakenya na Waganda gani hao wameweza? Ninpenda kuwajua.
 
Site ya Google ya Android Android Developers

YouTube kuna video nyingi za programming for Android.

Stackoverflow.com kwa maswali na majibu.

Kama haujui Java ni muhimu kujifunza Java kabla ya kuanza na Android.

Mwisho niseme biashara ya Apps ni ngumu sana, lakini kila la heri.

Edit: Target 2.1, jinsi Android ilivyotengenezwa ni kwamba ukilenga version ya chini itafanya kazi kwenye version yoyote ya juu na ukilenga 2.1 unakuwa umecover kama 98% ya market. Platform Versions | Android Developers

aksante sana Kang Google, yutube, stackoverflow zote nizitumia sana. nilipenda kuongeza na maoni ya wanajamvi wenye practical experince waliojaribu hii kitu.

Programming na Java sio mtaalam sana but naua through google,youtube, stcakoverflow ect nitajaribu

kingine dhumuni langu kuu ni kujifunza tu kwa vitendo sio biashara . So far so good
 
Swali lingine na ushauri kutoka kwenu

Katika touvti ya eclipse Kuna IDE packages tofauti tofauti za Java . Sasa ni ipi inayofaa kati ya
  • eclipse IDE for java deveopers,
  • eclipse IDE for java EE deveopers,
  • eclipse classic 3.7.1
Hizi tatu naona ndio zina dowload nyingi . Sasa mtaalam yeyote wa eclipse/Java animbie tofauti ya hizi package ni nini na ipi inafaa kwa develpment ya mobile apps
 
Swali lingine na ushauri kutoka kwenu

Katika touvti ya eclipse Kuna IDE packages tofauti tofauti za Java . Sasa ni ipi inayofaa kati ya
  • eclipse IDE for java deveopers,
  • eclipse IDE for java EE deveopers,
  • eclipse classic 3.7.1
Hizi tatu naona ndio zina dowload nyingi . Sasa mtaalam yeyote wa eclipse/Java animbie tofauti ya hizi package ni nini na ipi inafaa kwa develpment ya mobile apps

Classic.
 
Aksante mkuu
Unaweza kutoa ushauri kwa sasa device nyingi za android zinatumia platform version gani? Naona kuna Platform kama nne na kila moja ina version kama tatu hivi. . So kwa development ni platform gani inatakiwa kutumika 2, 3, 4



Nimeutumia mail ila kama hutajali kibandike pia kwenye file sharing kama mediafire au megaupload
Nimeshakutumia mkuu... sory kwa kuchelewa
 
Back
Top Bottom