Kutengeneza App kama hizi mbili natakiwa niwe na mtaji kiasi gani?

Satoh Hirosh

JF-Expert Member
Mar 30, 2021
5,910
23,072
Salaam..

Kuna hizi Apps mbili 1.JIJI 2.Zoom Tanzania amabazo ni platforms za kuconnect wateja na wauzaji wa bidhaa mtandaoni Kwa hapa Tanzania,naomba kujua from the scratch mpaka zinaanza kuoperate zinaweza kumghalimu mtu pesa kiasi gani.

Vitu Kama;
1.kudesign na kutengeneza App yenyewe itanicost kiasi gani
2.gharama za kuiendesha
3.wafanyakazi
4.usajili(naanzia wapi namalizia wapi pamoja na gharama zake)

NB: Nina idea ya kuwa na application yenye maudhui yenye kufanana kidogo na hizo mbili nilizozitolea mfano,ingawa ya kwangu itakuwa tofauti kidogo na hizo mbili ambazo nimezifanya km benchmark ili nieleweke kiurahisi zaidi.Karibuni Kunipa mwongozo
 
Salaam..

Kuna hizi Apps mbili 1.JIJI 2.Zoom Tanzania amabazo ni platforms za kuconnect wateja na wauzaji wa bidhaa mtandaoni Kwa hapa Tanzania,naomba kujua from the scratch mpaka zinaanza kuoperate zinaweza kumghalimu mtu pesa kiasi gani

Vitu Kama;
1.kudesign na kutengeneza App yenyewe itanicost kiasi gani
2.gharama za kuiendesha
3.wafanyakazi
4.usajili(naanzia wapi namalizia wapi pamoja na gharama zake)

NB: Nina idea ya kuwa na application yenye maudhui yenye kufanana kidogo na hizo mbili nilizozitolea mfano,ingawa ya kwangu itakuwa tofauti kidogo na hizo mbili ambazo nimezifanya km benchmark ili nieleweke kiurahisi zaidi.Karibuni Kunipa mwongozo
Kwa uzoefu wangu kama mtu wa IT for more than 20 yrs ! Hapa Tanzania Developers awapo Serious na Coding na awawezi tengeneza hizi app unazotaka wewe! Mimi nnatumia Wahindi ambao wapo Makini na kazi na wanakeep promise japo garama kidogo. Kuna majamaa wamewaingiza mkenge Saccos zaidi ya 40 hapa Tanzania Waliwaambia kuwa wana Software nzuri kwa Saccos ,Ya Kizawa ,Ina ubora ,wakawa wanaawaambia Saccos waachane na software za kigeni wao wamekuja na suluhisho la software za Saccos!😂😂😂Sasa hivi Awapokei simu za Wateja ni madudu matupu waliowauzia hizi Saccos! Hizi saccos zitake zisitake ili waweze kuendana na Sheria za Benk Kuu lazima wanunue Software nyingine.
 
Salaam..

Kuna hizi Apps mbili 1.JIJI 2.Zoom Tanzania amabazo ni platforms za kuconnect wateja na wauzaji wa bidhaa mtandaoni Kwa hapa Tanzania,naomba kujua from the scratch mpaka zinaanza kuoperate zinaweza kumghalimu mtu pesa kiasi gani.

Vitu Kama;
1.kudesign na kutengeneza App yenyewe itanicost kiasi gani
2.gharama za kuiendesha
3.wafanyakazi
4.usajili(naanzia wapi namalizia wapi pamoja na gharama zake)

NB: Nina idea ya kuwa na application yenye maudhui yenye kufanana kidogo na hizo mbili nilizozitolea mfano,ingawa ya kwangu itakuwa tofauti kidogo na hizo mbili ambazo nimezifanya km benchmark ili nieleweke kiurahisi zaidi.Karibuni Kunipa mwongozo
Hizo ni script tu kama wordpress, most of time app zao zinakuwa zina base na software husika iliotumika, haziwi native.

Maarufu ya Bure inaitwa osclass kama kumbukumbu zipo sawa kupatana walitumia hii.


Jaribu kuhost uone mwenyewe result itakayokupa, themes unaweza tafuta nzuri hata ikiwa ya kulipia kujitofautisha kidogo.
 
Hizo ni script tu kama wordpress, most of time app zao zinakuwa zina base na software husika iliotumika, haziwi native.

Maarufu ya Bure inaitwa osclass kama kumbukumbu zipo sawa kupatana walitumia hii.


Jaribu kuhost uone mwenyewe result itakayokupa, themes unaweza tafuta nzuri hata ikiwa ya kulipia kujitofautisha kidogo.
Elezea
 
Kwa uzoefu wangu kama mtu wa IT for more than 20 yrs ! Hapa Tanzania Developers awapo Serious na Coding na awawezi tengeneza hizi app unazotaka wewe! Mimi nnatumia Wahindi ambao wapo Makini na kazi na wanakeep promise japo garama kidogo. Kuna majamaa wamewaingiza mkenge Saccos zaidi ya 40 hapa Tanzania Waliwaambia kuwa wana Software nzuri kwa Saccos ,Ya Kizawa ,Ina ubora ,wakawa wanaawaambia Saccos waachane na software za kigeni wao wamekuja na suluhisho la software za Saccos!😂😂😂Sasa hivi Awapokei simu za Wateja ni madudu matupu waliowauzia hizi Saccos! Hizi saccos zitake zisitake ili waweze kuendana na Sheria za Benk Kuu lazima wanunue Software nyingine.
Ndo kilichomtokea mange na app yake
 
Kwa uzoefu wangu kama mtu wa IT for more than 20 yrs ! Hapa Tanzania Developers awapo Serious na Coding na awawezi tengeneza hizi app unazotaka wewe! Mimi nnatumia Wahindi ambao wapo Makini na kazi na wanakeep promise japo garama kidogo. Kuna majamaa wamewaingiza mkenge Saccos zaidi ya 40 hapa Tanzania Waliwaambia kuwa wana Software nzuri kwa Saccos ,Ya Kizawa ,Ina ubora ,wakawa wanaawaambia Saccos waachane na software za kigeni wao wamekuja na suluhisho la software za Saccos!😂😂😂Sasa hivi Awapokei simu za Wateja ni madudu matupu waliowauzia hizi Saccos! Hizi saccos zitake zisitake ili waweze kuendana na Sheria za Benk Kuu lazima wanunue Software nyingine.
Naomba kufahamu uzoefu wako wa IT upo katika maeneo gani kama hautajali.
 
Kwa uzoefu wangu kama mtu wa IT for more than 20 yrs ! Hapa Tanzania Developers awapo Serious na Coding na awawezi tengeneza hizi app unazotaka wewe! Mimi nnatumia Wahindi ambao wapo Makini na kazi na wanakeep promise japo garama kidogo. Kuna majamaa wamewaingiza mkenge Saccos zaidi ya 40 hapa Tanzania Waliwaambia kuwa wana Software nzuri kwa Saccos ,Ya Kizawa ,Ina ubora ,wakawa wanaawaambia Saccos waachane na software za kigeni wao wamekuja na suluhisho la software za Saccos!Sasa hivi Awapokei simu za Wateja ni madudu matupu waliowauzia hizi Saccos! Hizi saccos zitake zisitake ili waweze kuendana na Sheria za Benk Kuu lazima wanunue Software nyingine.
Mkuu mbn unanikatisha tamaa.Ni Kusema kwamba Tz mzima hakuna developers wa kufanya ninachotaka?
 
Hizo ni script tu kama wordpress, most of time app zao zinakuwa zina base na software husika iliotumika, haziwi native.

Maarufu ya Bure inaitwa osclass kama kumbukumbu zipo sawa kupatana walitumia hii.


Jaribu kuhost uone mwenyewe result itakayokupa, themes unaweza tafuta nzuri hata ikiwa ya kulipia kujitofautisha kidogo.
Asante mkuu Kwa mwongozo
 
Mkuu mbn unanikatisha tamaa.Ni Kusema kwamba Tz mzima hakuna developers wa kufanya ninachotaka?
Show or name to Me Software gani imetengenezwa na Watanzania/Mtanzania??NMB wametoa mpaka Sandbox WaTZ wadevelop app mpaka leo ngapi zimetengenzwa??? COSTECH mpaka Microsoft walitoaga Funds ku incubate software Developer todate kuna software ngapi zipo sokoni??
 
Show or name to Me Software gani imetengenezwa na Watanzania/Mtanzania??NMB wametoa mpaka Sandbox WaTZ wadevelop app mpaka leo ngapi zimetengenzwa??? COSTECH mpaka Microsoft walitoaga Funds ku incubate software Developer todate kuna software ngapi zipo sokoni??
Basi tuna safari ndefu Sana km taifa Kwa kweli
 
Show or name to Me Software gani imetengenezwa na Watanzania/Mtanzania??NMB wametoa mpaka Sandbox WaTZ wadevelop app mpaka leo ngapi zimetengenzwa??? COSTECH mpaka Microsoft walitoaga Funds ku incubate software Developer todate kuna software ngapi zipo sokoni??
Mkuu Maxcomm ni Ya Tanzania na Maxmalipo ilikuwa project kubwa tu, kuna software nyingi za kizawa zinafanya vizuri,
 
Back
Top Bottom