Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 5,910
- 23,072
Salaam..
Kuna hizi Apps mbili 1.JIJI 2.Zoom Tanzania amabazo ni platforms za kuconnect wateja na wauzaji wa bidhaa mtandaoni Kwa hapa Tanzania,naomba kujua from the scratch mpaka zinaanza kuoperate zinaweza kumghalimu mtu pesa kiasi gani.
Vitu Kama;
1.kudesign na kutengeneza App yenyewe itanicost kiasi gani
2.gharama za kuiendesha
3.wafanyakazi
4.usajili(naanzia wapi namalizia wapi pamoja na gharama zake)
NB: Nina idea ya kuwa na application yenye maudhui yenye kufanana kidogo na hizo mbili nilizozitolea mfano,ingawa ya kwangu itakuwa tofauti kidogo na hizo mbili ambazo nimezifanya km benchmark ili nieleweke kiurahisi zaidi.Karibuni Kunipa mwongozo
Kuna hizi Apps mbili 1.JIJI 2.Zoom Tanzania amabazo ni platforms za kuconnect wateja na wauzaji wa bidhaa mtandaoni Kwa hapa Tanzania,naomba kujua from the scratch mpaka zinaanza kuoperate zinaweza kumghalimu mtu pesa kiasi gani.
Vitu Kama;
1.kudesign na kutengeneza App yenyewe itanicost kiasi gani
2.gharama za kuiendesha
3.wafanyakazi
4.usajili(naanzia wapi namalizia wapi pamoja na gharama zake)
NB: Nina idea ya kuwa na application yenye maudhui yenye kufanana kidogo na hizo mbili nilizozitolea mfano,ingawa ya kwangu itakuwa tofauti kidogo na hizo mbili ambazo nimezifanya km benchmark ili nieleweke kiurahisi zaidi.Karibuni Kunipa mwongozo