Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Aisee...!
Inahitaji imani baadhi ya mambo.
Inahitaji imani baadhi ya mambo.
Mfano mmoja nakupa tu, ninayo mengi, mm ni jasiri kupindukia, mwaka Jan 2015 kulikuwa na mchawi mmoja watu walimhisi usiku mida ya saa 9 anafanya uchawi nikiwa likizo huko Arusha, watu waliamka na wakamkamata, mm niliposikia kelele nikaamka pia, nikaenda na track suit, usiku 9:30 hv, alikuwa ana mashanga kibao na unga kajipaka sijuii nini na yuko uchi, nilipiga kibao kimoja akanya haja kubwa full na mkojo juu na akakata network, alipopata fahamu ilikuwa saa 11 asubuhi, nilimuongeza watu walilia naua, basi wakamchukua hajijui hadi polisi..
Acha roho ya uoga uoga.. Utakufa tu siku moja, be the most strongest ever human kwa vyote..!! Tumia akili sana pia Unanielewa..!!