Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,105
- 26,565
Mpk uende,sshv hayapatikani popote anatoa mwnyew na marufuku hayauzwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifuata utaratibu wa coordinator unatumia 4 m hapo nje ya visa!
Lkn ukiomba direct almost 3 m.
Mi nishaenda na coordinators twice,sitaki tena nitakuwa naomba tu mwnywe,online ,najaza questioneer basi nasubiri wanijibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpk uende,sshv hayapatikani popote anatoa mwnyew na marufuku hayauzwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nkipata ntakujuza..ila kama coordinator wanapandisha siwataki. Kuna mtu aliwahi walalamikia humu
Nkipata ntakujuza..ila kama coordinator wanapandisha siwataki. Kuna mtu aliwahi walalamikia humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela ya kukaa kule kwa wiki sh ngapi? Na chakulaHuwa sielewi hiyo hela wanafanyia nn!
Sbb nauli ilikuwa hata M haifiki ,laki 9,8....kwa ethiopia airline....then na gaharama za kukaa kule ...1 week! Ss utajiuliza hiyo hela nyongine huwa ni ya nn!
Ila shilingi ilivyoshuka sshv mpk noma,nauli inaweza ikazidi M1...napo sio sanaa....
So ukiomba direct unalipia tiketi yako go n return plus hela yako ya kukaa kule basi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauli sio issue,1M...issue ile ya kukaa ndani$800
Na sshv shiling ilivyoshuka balaa tupu!
Bado option zipo...ukifikia hotel ufuate utaratibu wa prayer line km visitor pia gharama inapungua!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela yote hiyo unatafuta muujiza? Unabii? Au niniUkifuata utaratibu wa coordinator unatumia 4 m hapo nje ya visa!
Lkn ukiomba direct almost 3 m.
Mi nishaenda na coordinators twice,sitaki tena nitakuwa naomba tu mwnywe,online ,najaza questioneer basi nasubiri wanijibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni watu gani waliahidiwa na Yesu kwambaJe kuna mwanajf yeyote anayepanga kwenda SCOAN
Kama upo tafadhali uniambie..
Nna hitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba uniunganshe naeKuna dada mmoja ni staff mate wangu huwa anaendaga kwa TB joshua, mara tatu kwa mwaka
Ngoja kesho nitamuuliza kama atakubali nitoe namba yake, vipi unataka kwenda nae
Ndio mkuu. NtashukuruNgoja kesho nitamuuliza kama atakubali nitoe namba yake, vipi unataka kwenda nae