kadovela
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 471
- 678
Habari zenu wana JF,
Ningependa kujua zaidi na kuwekwa sawa kwenye hii dhana ya kutembelea na kwenda kusafisha makaburi ya ndugu, jamaa na marafiki.
Je, kwa kitendo cha kwenda tu kutembelea na kusafisha maeneo hayo unakuwa umefanya ibada za marehemu?
Nb:
Sizungumzi wale ambao wanaenda kulia kwenye makaburi na kusali wakiamini kwamba marehemu zao wanaweza either kuwasaidia kufikisha maombi kwa Mungu au kwa kuwaombea MUNGU awarehemu japo hesabu zao zilishafungwa siku walipoaga dunia.
cc mshana jr.
Ningependa kujua zaidi na kuwekwa sawa kwenye hii dhana ya kutembelea na kwenda kusafisha makaburi ya ndugu, jamaa na marafiki.
Je, kwa kitendo cha kwenda tu kutembelea na kusafisha maeneo hayo unakuwa umefanya ibada za marehemu?
Nb:
Sizungumzi wale ambao wanaenda kulia kwenye makaburi na kusali wakiamini kwamba marehemu zao wanaweza either kuwasaidia kufikisha maombi kwa Mungu au kwa kuwaombea MUNGU awarehemu japo hesabu zao zilishafungwa siku walipoaga dunia.
cc mshana jr.