Kutembea ukiwa usingizini

Hapana wanga ni ngumu kuwaona kwa vivid eyes

Jr
Kuna rafiki yangu alinisimulia kila ifikapo saa nane na nusu atake asitake lazima aamke kinachomwamsha hajui,saa kumi na moja anapitiwa na usingizi Ni kila siku hali hi inamtokea yapata miezi mitatu Sasa,na akiamka hua haoni chochote usingizi unakata kabisa,na muda Ni huo huo nane na nusu pengine hii yaweza kua Nini hasa ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni tatizo la wengi na imekuwa kama mazoea sasa.. Hata mimi mida hiyo mpaka sasa saa tisa na nusu nakuwaga macho... Labda kwakuwa ndio mida ya wanga na zilaili mtoa roho
Kuna rafiki yangu alinisimulia kila ifikapo saa nane na nusu atake asitake lazima aamke kinachomwamsha hajui,saa kumi na moja anapitiwa na usingizi Ni kila siku hali hi inamtokea yapata miezi mitatu Sasa,na akiamka hua haoni chochote usingizi unakata kabisa,na muda Ni huo huo nane na nusu pengine hii yaweza kua Nini hasa ?

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
.
downloadfile-23.jpeg


Jr
 
Mm juzi nilishtuka ghafra nikaenda sebuleni nikajilaza mweny Kochi mda kama dakika moja nikajiuliza mbona nimekuja sebulini nikajipa jawabu kuwa kitandani Kuna nyoka ,huez amini nilijilaza kwenye Koch takribani dakika 5 ,ndipo nikarudi kitandani nikiwa over confidence ,nikalala kiukweri niliwaza Sana ,nikawasha simu nikaanza kusikiliza kwaya ,nikapitiwa na ucngiz .Sasa hii har ckuelewa Nini maana yake
 
Wanga walikutembelea na wakawa wanakufanyia michezo yao
Mm juzi nilishtuka ghafra nikaenda sebuleni nikajilaza mweny Kochi mda kama dakika moja nikajiuliza mbona nimekuja sebulini nikajipa jawabu kuwa kitandani Kuna nyoka ,huez amini nilijilaza kwenye Koch takribani dakika 5 ,ndipo nikarudi kitandani nikiwa over confidence ,nikalala kiukweri niliwaza Sana ,nikawasha simu nikaanza kusikiliza kwaya ,nikapitiwa na ucngiz .Sasa hii har ckuelewa Nini maana yake

Jr
 
hii sentensi ina uzito, ila wengi hawajaelewa kilichoandikwa. thanks mshana pia kama utapenda , jaribu kuongelea haya maswala ya fikra. kwamfano, nini kinatokea ukikaa na fikra moja kwa muda mrefu
, hata miaka.. nini ambacho kinajijenga rohoni.

Kwa baadhi ambao hawana tatizo lingine lolote lakini huwa mahiri na waliobobea kwenye fikra za kufikirika hufikia kutengeneza matendo halisi kwenye ufahamu na kujikuta wanayatekeleza usingizini bila utashi wa nafsi
2012cab92a1a91bfd312924a2ca2dc92.jpg
 
Mimi nimeshawahi kutoka kitandani nikiwa usingizini na kukimbilia mlangoni huku napiga kelele, nikifika mlangoni nazinduka na kujikuta napiga kelele huku niking'ang'ania kufungua mlango na huku nikiwa ninatoka jasho sana, hii imeshanitokea zaidi ya mara mbili nikiwa tayari mtu mzima, mara moja ilinitokea nikiwa kwangu na mara mbili imenitokea ugenini kabisa na kusababisha watu wote waliokuwa wamelala kukurupuka toka usingizini. Siku niliyofanya hivyo nilipokuwa kwangu kuna mtu alikuwa anachungulia dirishani nilipozinduka baada ya kupiga kelele akakimbia sana sikujua ni nani ila kesho asubuhi yake mlinzi wa jirani akaacha kazi na pale dirishani tulikuta maua yakiwa yamekanyangwa kanyagwa,, mpaka leo huwa najiuliza kuna connection gani hapo :D:D:D
Kaka yangu nae kama wewe.anaamka anakimbilia mlango huku anapiga kelele.mshana wanasaidiwaje kwenye hali ya namna hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1e7761d954f8c945a4d62ec22c410c19.jpg


Wengi wetu tumeshakumbana na hili tatizo aidha sisi wenyewe ama kupitia ndugu jamaa au hata rafiki, ni tatizo la kiufahamu ambalo husababishwa na matatizo mengine mwilini kama mfumo wa upumuaji kutokuwa sawa, shida kwenye mfumo wa kusukuma damu, madawa msongo wa mawazo uchovu fikra za kufikirika nk

Kiroho pia ina tafsiri yake kwamba hata unapokuwa umelala na hujitambui ufahamu wako huwa active na kufanya mengine yote bila wewe mwenyewe kwenye nafsi ya utashi ukishindwa kutambua lolote.

Kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa hata wale wanga na wachawi wanaochukua watu usiku hutumia formula ya ufahamu kuchukua watu kwenda kuwafanyisha kazi kisha kuwarudisha bila wao kujitambua
70ae5819adbbc390a659e7b1670ca3ec.jpg

Dalili za tatizo hili kwa baadhi huanza utotoni ambalo wala mtoto hana stress nk, na utakuta mtoto anaongea pekeyake bila kutoa sauti anakunjua sura ama kukunja na wakati mwingine kushtuka,(hapa mambo ya kishirikina pia huhusika sana)

Hali hii hutokea masaa takibran matatu baada ya kulala ama kwenye usingizi mzito usiku wa manane na huweza kudumu kuanzia sekunde 30 mpaka nususaa.

Tatizo hili hutofautiana ukubwa, wengine huamka tu kitandani na kuzunguka ndani ya chumba na kurudi kulala! Ila wengine huamka na kama ni mwanafunzi huvaa uniform kabisa na kutoka mpaka nje hata wafanyakazi pia!

Akiwa katika hali hiyo huweza kutembea mpaka hatua kadhaa kisha kurejea ndani na kulala tena huku mwenyewe kwenye hali ya utashi akiwa hajui lolote
Nimekutana na kesi za namna hiyo na watu wakitibiwa kwa kitunguu saumu ama ndimu(hii ni tiba mbadala)kwakuwa kwa hospitali hizi za kizungu hili halina tiba bali hupotea lenyewe au kwa njia ya kutibu chanzo, hasa kama limesababishwa na viashiria vya wazi kama madawa msukumo wa damu stress nk

Kiafrika haishauriwi kabisa kumshtua mtu anayetembea usingizini kwakuwa kile kitendo si utashi wake bali ni command ya ufahamu ambalo haukuwalisiana na nafsi ya utashi (kutenda kwa uamuzi)kinachotakiwa ni kumshika mkono na kumrudisha kitandani taratibu na mara nyingi ufahamu hutii....!

Si wote wanaoamka asubuhi wakiwa wachovu au wamechafuka miguu nk ni matendo ya kishirikina, wengine ni hili tatizo la kutembea usingizini.
Mohammed Saidi Abdullah (MSA), aliizungumzia sana hii dhana ya mtu kutembea akiwa usingizini katika kitabu chake cha "Mzima wa Watu wa Kale". Mojawapo wa mambo aliyokuwa akijiuliza ni kuhusu mwili na roho wa muhusika unakuwa katika hali gani. Pia alieleza uwezekano wa roho kupotea iwapo muhusika atashituliwa kutoka katika hali hiyo na hivyo kusababisha kifo. Kuna visa vimetokea hapa Duniani ambapo muhusika alitenda kosa la kuua na akarejea nyumbani kulala pasipo kujua nini kinaendelea. Katika hali hii kuna utata kuweza kujua kama mauaji yaliyofanyika ni jinai au vinginevyo. Wanasaikolojia wanaweza kuielezea vizuri hali hii.
 
Mm juzi nilishtuka ghafra nikaenda sebuleni nikajilaza mweny Kochi mda kama dakika moja nikajiuliza mbona nimekuja sebulini nikajipa jawabu kuwa kitandani Kuna nyoka ,huez amini nilijilaza kwenye Koch takribani dakika 5 ,ndipo nikarudi kitandani nikiwa over confidence ,nikalala kiukweri niliwaza Sana ,nikawasha simu nikaanza kusikiliza kwaya ,nikapitiwa na ucngiz .Sasa hii har ckuelewa Nini maana yake
andika kwa lugha ya kiswahili tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mohammed Saidi Abdullah (MSA), aliizungumzia sana hii dhana ya mtu kutembea akiwa usingizini katika kitabu chake cha "Mzima wa Watu wa Kale". Mojawapo wa mambo aliyokuwa akauliza ni kuhusu mwili na roho wa muhusika unakuwa katika hali gani. Pia alieleza uwezekano wa roho kupotea iwapo muhusika atashituliwa kutoka katika hali hiyo na hivyo kusababisha kifo. Kuna visa vimetokea hapa Duniani ambapo muhusika alitenda kosa la kuua na akarejea nyumbani kulala pasipo kujua nini kinaendelea. Katika hali hii kuna utata kuweza kujua kama mauaji yaliyofanyika ni jinai au vinginevyo. Wanasaikolojia wanaweza kuielezea vizuri hali hii.
True experience mimi kuna siku nimelala ghafla najikuta sebuleni nimejigonga kwenye meza ya kioo mkononi nilikuwa na glass ya maji ikaanguka pembeni puu ile sauti ghafla ikamshtua wife akaamka kwa hofu na mimi hapo ndio nikarudi kwenye ufahamu wa kawaida wife kuniuliza vipi mi nikamjibu hata sielewi nimefikaje sebuleni kuangalia fridge ni kweli lipo wazi akaanza kufoka mipombe yako hiyo angalia umemshtua mtoto analia wakati kipindi hicho nilikuwa sijagusa pombe kama wiki Tatu nikaona tusibishane bora nikae na yangu moyoni
 
nitafanya hivyo nipe muda
hii sentensi ina uzito, ila wengi hawajaelewa kilichoandikwa. thanks mshana pia kama utapenda , jaribu kuongelea haya maswala ya fikra. kwamfano, nini kinatokea ukikaa na fikra moja kwa muda mrefu
, hata miaka.. nini ambacho kinajijenga rohoni.

Jr
 
Hakuna jinai kwakuwa hakuna utashi wa mtenda.. Yani hana fahamu kamili na kile alichofanya japo cases za namna hii ni chache mno
Mohammed Saidi Abdullah (MSA), aliizungumzia sana hii dhana ya mtu kutembea akiwa usingizini katika kitabu chake cha "Mzima wa Watu wa Kale". Mojawapo wa mambo aliyokuwa akijiuliza ni kuhusu mwili na roho wa muhusika unakuwa katika hali gani. Pia alieleza uwezekano wa roho kupotea iwapo muhusika atashituliwa kutoka katika hali hiyo na hivyo kusababisha kifo. Kuna visa vimetokea hapa Duniani ambapo muhusika alitenda kosa la kuua na akarejea nyumbani kulala pasipo kujua nini kinaendelea. Katika hali hii kuna utata kuweza kujua kama mauaji yaliyofanyika ni jinai au vinginevyo. Wanasaikolojia wanaweza kuielezea vizuri hali hii.

Jr
 
Back
Top Bottom