figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Salaam wakuu,
Kama unanua hutakia kuoa au kuishi na mtu kinapenzi, basi acha kutolea udenda Majirani zako.
Kutembea na Jirani yako ni sawa na kujiingiza mwenyewe Korokoroni,bora uoe tu.
Kama una mpenzi jirani, usiseme upo single, sema unafamilia.
Kama unajijua hujatulia, basi kila siku utakua unafumaniwa na hata ukimwambia akuache hatakuacha. Ugomvi kila siku. Nlipokuwa Mwanza, demu wangu alikua Songea. Sasa nipo Arusha na mke wangu mtarajiwa yupo Lindi. Anafundishwa kukata mauno. Hadi nioe kashaiva tayari kwa kutandika Kitanda mara tatu kwa usiku mmoja.
Acha kujinyima raha.
Kama unanua hutakia kuoa au kuishi na mtu kinapenzi, basi acha kutolea udenda Majirani zako.
Kutembea na Jirani yako ni sawa na kujiingiza mwenyewe Korokoroni,bora uoe tu.
Kama una mpenzi jirani, usiseme upo single, sema unafamilia.
Kama unajijua hujatulia, basi kila siku utakua unafumaniwa na hata ukimwambia akuache hatakuacha. Ugomvi kila siku. Nlipokuwa Mwanza, demu wangu alikua Songea. Sasa nipo Arusha na mke wangu mtarajiwa yupo Lindi. Anafundishwa kukata mauno. Hadi nioe kashaiva tayari kwa kutandika Kitanda mara tatu kwa usiku mmoja.
Acha kujinyima raha.