Santi
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 540
- 1,197
Seriously??Ana like post za Mange
Seriously??Ana like post za Mange
Huyo ni ndugu yakeIbrahim Musa,,, anahusika vp na kanisa?
Huyu Roma Mkatoliki, hivi Kanisa Katoliki lisaidie japo kwa maombi na kuiomba serikali imatfutena itowe maelezo, maana huyu kijana anaonesha analipenda sana kanisa lake. Inabidi nalo lirudishe mapenzi.
cc Kadinali Pengo.
Kanisa katoliki haliendeshi kama kanisa la Gwajima!..Huyu Roma Mkatoliki, hivi Kanisa Katoliki lisaidie japo kwa maombi na kuiomba serikali imatfute na itowe maelezo, maana huyu kijana anaonesha analipenda sana kanisa lake. Inabidi nalo lirudishe mapenzi.
cc Kadinali Pengo.
Kama huyo Mrisho Mpoto ni snich akitoka hapo anaenda kuongea kwa simu na Bashite.Wasanii nawaangalia sana mnapojifanya mnapenda CCM haya ndio matokeo yake .watawamaliza wote
Ana like post za mange kimbambi tu instaHivi Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hii yupo???
Hujui thamani ya utu ww sometime ni bora kukaaa kimya ni kuficha ujingaaaMijitu mingine bwana hivi huyo Roma in nani has a nchi hii mpaka atekwe??OK katekwa siwaende polisi??kwa waandishibwa habari inawasaudia nini hasa ??machizi tu hayo
SadUpdates Mke wa Roma _mkatoliki akishindwa kujizuia kulia mbele ya waandishi akitaka msaada wa kutafutwa…
Inaelekea? !!!!! kwani hapa ipo kuzuri, imetoka kubaya inaenda kubaya zaidi.Nchi hii inaelekea kubaya, yule dogo aliposema anatishiwa maisha watu walisema anatafuta kiki
Roma ni msanii katika nchii hiiMijitu mingine bwana hivi huyo Roma in nani has a nchi hii mpaka atekwe??OK katekwa siwaende polisi??kwa waandishibwa habari inawasaudia nini hasa ??machizi tu hayo
Hatari tupu.Siro lazima anajua kinachoendelea haiwezekani muda wote huo tangu jamaa atekwe, akae kimya!
Acha kukurupuka na akili za Kibashite, familia imezunguka vituo vyote vya polisi, pia huyo Roma sio kuku ndiyomaana akipotea lazima Tanzania na dunia ijulishwe kusaidia kutoa taarifa yoyote itakayowezesha kupatikana kwake kwasababu Tanzania matukio haya yamejitokeza sana na wengine kama Bensaanane wamepotea milele kimzaa-mzaa naubashite-bashite kama huu unaoleta hapa.Mijitu mingine bwana hivi huyo Roma in nani has a nchi hii mpaka atekwe??OK katekwa siwaende polisi??kwa waandishibwa habari inawasaudia nini hasa ??machizi tu hayo
Hatari tupu.Ana like post za mange kimbambi tu insta
unaweza kuleta ushahidi kwamba kutwa nailaumu serikali?. usiruhusu ukosefu wako wa akili ufahamike na watu wa nje, leo Roma kesho wewew au ndugu yako.
unaweza kuleta ushahidi kwamba kutwa nailaumu serikali?. usiruhusu ukosefu wako wa akili ufahamike na watu wa nje, leo Roma kesho wewe au ndugu yako.