Kutegemea Mgao wa 50% ya faida kutoka Acacia ni ujanja mwingine wa Acacia

Trilion 425 Kodi - Bilion 609

Mategemeo ya Noah yameshuka mpaka hatuwezi Nunua Guta maana bilioni 609 sawa na Us dollar milioni 300 zilizotolewa katika meza ya Mazungumzo kila mtanzania kama ni gawio la Makinikia atagawiwa Tsh.14000
Je inatosha hata kununua Guta???
Something is better than nothing. Kumbuka tutajengewa smelters itaongeza ajira.
 
Trilion 425 Kodi - Bilion 609

Mategemeo ya Noah yameshuka mpaka hatuwezi Nunua Guta maana bilioni 609 sawa na Us dollar milioni 300 zilizotolewa katika meza ya Mazungumzo kila mtanzania kama ni gawio la Makinikia atagawiwa Tsh.14000
Je inatosha hata kununua Guta???

upload_2017-10-20_10-52-45.jpeg

Anzia hapo binamu, pole pole ndio mwendo. Fungu lijalo tutavuta magurudumu na injini
 
Napenda kumshukuru Mh Rais wetu Dr John Magufuli kwa ujasiri katika kutetea maslahi ya Taifa kupitia rasilimali madini, aidha, nimefuatilia kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa kampuni ya uchimbaji madini yaani Barrick Gold Mine Coorparation Prof John Thornton ni mjanja kupita kiasi pamoja na kutoa sifa lukuki kwa Mh wetu Rais Dr Magufuli kuhusu mfumo wa kibiashara wa karne ya 21 na ndio mfumo unaopaswa kuigwa na dunia nzima hayo maneno nimeyafikiria mno, huu ni ujanja mpya wa kisheria wa kutaka kutusumbua na kutuibia katika karne ya 21 ,Acacia ama Barrick bado wana nafasi sana ya kudanganya katika faida watakayopata na kupiga mahesabu ya kupata hasara au faida kiduchu, suala la asilimia 50 kwa 50 lingewekwa kama umiliki wa hisa kwa pande zote badala ya kuweka 50% kwenye kugawana faida accacia bado wametuachia kiini macho umiliki wa hisa mdogo wa 16% wataalamu wetu pia wajaribu kuliona hilo kwenye awamu ya pili ya majadiliano kuhusu umiliki,kugawana faida na hisa.
MiCCM ni miqumer sana wala haiwezi kuliona hilo.
 
Tutakuwepo kwenye bodi na ngazi nyingi za utawala hakuna loss ya uwongo itakayotangazwa.

Hahhahahahahhahahah ngoja niweke akiba ya maneno.Pale unapoaminishwa ACACIA watafunga ofisi zao SA ambako ofisi inahudumia miradi yao yote AFRIKA wa kuletee Bongo tena Mwanza,ngoja tusubiri Mkurugenzi wa fedha akiwa Mtanzania.

Huko kwenye board kulikuwa na watanzania akina Kalemani na Mwenyekiti wa Kamati ya makinikia waliisaidiaje Taifa??Mpaka pale watanzania tutakapojifahamu na kufanya maamuzi ya kulifikiria TAIFA na si chama ndipo tutainuka
 
Comrade igwe, mimi hadi sasa najiuliza hiyo kanuni mpya ya kiuchumi kuwa tunamiliki asilimia 16 lkn kwenye faida tunapata asilimia 50. Naona kama vile tumechezewa shere vile.

Vv
 
Wote mnaoandika Acacia ni washamba na malimbukeni. Jana ni juu ya Barrick Baba lao..
Mnatia aibu kama vile hamkusoma kupitia elimu ya nchini hapa haswa bali kupitia hewani hukooo..
Inakuwaje mnaboa kwa kukosa umaarifa wa kusaka zaidi.. yaani mnapenda kukimbilia kuandika bila kutumia fikra hata mkafanya uchambuzi wenu. Hamchoki kujitia aibu! Na ndio maana 2020 msahau kabisaaaaaa
We aaaa dilingi wisi yuu bariki, aaaha nilicheka sana hatutaki Kongo longo we are dealing with mmmmh kweli ukishikwa masikio shikika hivi mkimaliza hii series inafuata ipi?
 
Napenda kumshukuru Mh Rais wetu Dr John Magufuli kwa ujasiri katika kutetea maslahi ya Taifa kupitia rasilimali madini, aidha, nimefuatilia kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa kampuni ya uchimbaji madini yaani Barrick Gold Mine Coorparation Prof John Thornton ni mjanja kupita kiasi pamoja na kutoa sifa lukuki kwa Mh wetu Rais Dr Magufuli kuhusu mfumo wa kibiashara wa karne ya 21 na ndio mfumo unaopaswa kuigwa na dunia nzima hayo maneno nimeyafikiria mno, huu ni ujanja mpya wa kisheria wa kutaka kutusumbua na kutuibia katika karne ya 21 ,Acacia ama Barrick bado wana nafasi sana ya kudanganya katika faida watakayopata na kupiga mahesabu ya kupata hasara au faida kiduchu, suala la asilimia 50 kwa 50 lingewekwa kama umiliki wa hisa kwa pande zote badala ya kuweka 50% kwenye kugawana faida accacia bado wametuachia kiini macho umiliki wa hisa mdogo wa 16% wataalamu wetu pia wajaribu kuliona hilo kwenye awamu ya pili ya majadiliano kuhusu umiliki,kugawana faida na hisa.
Huo mtazamo wako ni finyu na hatimaye mfu.

Yawezekana ikawa kweli wakadanganya mahesabu ni kutaja hasara au faida kidogo. Lakini, kumbuka kwamba moja ya kipengele cha makubaliano ni kuhusu shughuli zote za madini kufanyika Tanzania badala ya SA na UK na fedha ya mauzo kuwekwa kwenye benki za hapa nchini. Pamoja na hilo, Serikali itaweka Watanzania kwenye bodi za makampuni ya Barrick yanayochimba dhahabu nchini. Yawezekana hao Watanzania wakakosa uzalendo kana hao wa awali waliondika mikataba ya hovyo.

Isitoshe bado kuna mrahaba na hisa kuongezeka ikiwa na maana pato zaidi kwa serikali.

Ikumbukwe pia kwamba serikali inaachiwa madini mkakati yote yatakayopatikana na Barrick watabaki na madini halisi yaliyo kwenye mkataba, yaani dhahabu, shaba na fedha.

Tuamini tu tumetoka gizani na kuingia kwenye ulimwengu wa nuru.
 
Wote mnaoandika Acacia ni washamba na malimbukeni. Jana ni juu ya Barrick Baba lao..
Mnatia aibu kama vile hamkusoma kupitia elimu ya nchini hapa haswa bali kupitia hewani hukooo..
Inakuwaje mnaboa kwa kukosa umaarifa wa kusaka zaidi.. yaani mnapenda kukimbilia kuandika bila kutumia fikra hata mkafanya uchambuzi wenu. Hamchoki kujitia aibu! Na ndio maana 2020 msahau kabisaaaaaa
Dada, busara yako inatisha! Jaribu kupangua au kuchangia hoja badala ya kushambulia fikra za Watanzania wenzako ambao kimsingi bado hawawaamini hao wawekezaji.

Vv
 
muda sio mrefu watafunga migodi wamevuna sana madini yamebakia kidogo hata leo tukigawana 50% kwa 50%
wazungu akili nyingi
Yes wenye akili kubwa kama wewe hivi ndio wanavyofikiri,na hapa ndipo tunapoachwa kwenye mataa kama mazuzu,asante kwa kuliona hilo mkuu,Mzungu ni akili nyingine kabisa anajua vema anachofanya ameona asiwe na cha kupoteza alinde thamani ya hisa zake kwenye soko la hisa na zile trilioni 425 ndio zimeyeyuka kimya kimya.
 
Wote mnaoandika Acacia ni washamba na malimbukeni. Jana ni juu ya Barrick Baba lao..
Mnatia aibu kama vile hamkusoma kupitia elimu ya nchini hapa haswa bali kupitia hewani hukooo..
Inakuwaje mnaboa kwa kukosa umaarifa wa kusaka zaidi.. yaani mnapenda kukimbilia kuandika bila kutumia fikra hata mkafanya uchambuzi wenu. Hamchoki kujitia aibu! Na ndio maana 2020 msahau kabisaaaaaa
We mwanamke ni mse.nge sijapata ona dunia hii
 
Napenda kumshukuru Mh Rais wetu Dr John Magufuli kwa ujasiri katika kutetea maslahi ya Taifa kupitia rasilimali madini, aidha, nimefuatilia kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa kampuni ya uchimbaji madini yaani Barrick Gold Mine Coorparation Prof John Thornton ni mjanja kupita kiasi pamoja na kutoa sifa lukuki kwa Mh wetu Rais Dr Magufuli kuhusu mfumo wa kibiashara wa karne ya 21 na ndio mfumo unaopaswa kuigwa na dunia nzima hayo maneno nimeyafikiria mno, huu ni ujanja mpya wa kisheria wa kutaka kutusumbua na kutuibia katika karne ya 21 ,Acacia ama Barrick bado wana nafasi sana ya kudanganya katika faida watakayopata na kupiga mahesabu ya kupata hasara au faida kiduchu, suala la asilimia 50 kwa 50 lingewekwa kama umiliki wa hisa kwa pande zote badala ya kuweka 50% kwenye kugawana faida accacia bado wametuachia kiini macho umiliki wa hisa mdogo wa 16% wataalamu wetu pia wajaribu kuliona hilo kwenye awamu ya pili ya majadiliano kuhusu umiliki,kugawana faida na hisa.
Watanzania tuache maneno maneno yasio na maana, na yaulotoshaji, mtu aongea/anaeleza kama alikuwa kwenye hicho kikao kilichofikia hayo makubaliano
Waliokuwepo kwenye hayo MAKUBALIANO sio WAJINGA
 
Kampuni zenyewe hizi zinatangaza hasara kila mwaka. Kwani hata hiyo 3% tulikuwa tunaipata? Si walikuwa wanasema tu kwamba wamepata hasara? Usishangae wakatuambia tuchangie 50% ya hasara waliyoipata kuptia kutolipa kodi kwa sababu sasa hivi tuna ubia wa fifty-fifty.
sawa tu lkn ....kwenye uongozi si kutakuwa na watz kama prof mruma (wafia nchi)...loss itakua loss kweli ...na profit itakua profit kweli
 
Back
Top Bottom