Asipokula anatapika maji.Maana nyingine akiwa safarini chochote kilicho tumboni kinatapikwa.Awe anakula kitu kabla ya kuanza safari inaweza kumsaidia
Masharti ya kiganga hayaMkuu
Kuna Dawa Ambazo Siyo Rasmi Lakini Watumiaji Wake Wanatoa Shuhuda Kuwa Zinatoa Suruhu Ya Tatizo.
1. Achukue Gazette Atandike Kwenye Seat Yake Halafu Alikalie Hadi Mwisho Wa Safari Hatatapika
2. Achukue Kitambaa Kwaajili Ya Kijifutia Jasho
Hicho Akitemee Mate Halafu Afunge Fundo
Kisha Aweke Kwenye Mfuko Wa Suruali Mwanzo Hadi Mwisho Wa Safari Hatotapika
3 . Achukue Kiberiti Halafu Njiti Moja Wakati Wa Safari Kule Kwenye Baruti Anaweka Mdomoni
Safari Inaendelea Ikiisha Anaweka Nyingine
Mpaka Afike.
Nangoja Mrejesho
Kwenye Hizo Njia Tatu Chagua Uipendayo Mojawapo!!!!
Sawa SawaMasharti ya kiganga haya
Hii namba tatu kweli inasaidia mimi nimethibitisha.Mkuu
Kuna Dawa Ambazo Siyo Rasmi Lakini Watumiaji Wake Wanatoa Shuhuda Kuwa Zinatoa Suruhu Ya Tatizo.
1. Achukue Gazette Atandike Kwenye Seat Yake Halafu Alikalie Hadi Mwisho Wa Safari Hatatapika
2. Achukue Kitambaa Kwaajili Ya Kijifutia Jasho
Hicho Akitemee Mate Halafu Afunge Fundo
Kisha Aweke Kwenye Mfuko Wa Suruali Mwanzo Hadi Mwisho Wa Safari Hatotapika
3 . Achukue Kiberiti Halafu Njiti Moja Wakati Wa Safari Kule Kwenye Baruti Anaweka Mdomoni
Safari Inaendelea Ikiisha Anaweka Nyingine
Mpaka Afike.
Nangoja Mrejesho
Kwenye Hizo Njia Tatu Chagua Uipendayo Mojawapo!!!!
Iyo ni motion sickness awe anakunywa hyoscine 10mg anapotaka kusafiriWakuu salamu,
Naomba msaada ni nini kinasababisha mtu kutapika akiwa safarini? Nina kijana wangu kila akisafiri lazima atapike, hata kama sii mgonjwa. Na hiyo imempelekea kutokunywa kitu chochote au kula pindi anaposafiri, ila pamoja na kutokula kitu atatapika maji, shida ni nini? Anaweza kusaidiwaje?
Karibuni
What is the connection over thisChukua gazeti uweke kwenye siti kisha ukalie, hautotapika tena.
Asante sana mkuuIyo ni motion sickness awe anakunywa hyoscine 10mg anapotaka kusafiri