CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Mlezi mmoja team yake ili struggle kupata nauli ya kwenda Djibout na wachezaji watano hawakuwa na passport wakafika Djibout siku ya mechi wakashinda wakarudi dar wakashinda leo wako round ya kwanza ya kombe la afrika shirikisho, mlezi hakutoa hata senti moja kuwasaidia usafiri wala kusaidia hata upatikanaji wa passport, hata pongezi ya mdomo au hata kuwapa elf kumi kumi kwa hatua hiyo kubwa ambayo hata UTOPWINYO imewashinda kabisa
Mlezi akaibukia siku ya mechi ya simba na box lenye burungutu la hela kwamba wakishinda kuna milioni 15 wakitoa sare kuna milioni kumi, walipata hiyo kumi ingawa jana wamepapaswa kimoja hapohapo nyumbani labda kwa vile mlezi hakuhangaika na hiyo mechi
Mlezi mwingine naye ni vilevile ,milioni 15 kwa kumi ila huyu katia fora kwa kweli maana ni kama vile kulikuwa na maagizo pembeni na hela zaida za dodoma jiji kucheza kung-fu ,macho ya wadau yamefunguka kwamba kuanzia sasa kila mechi lazima wachezaji wa simba waumizwe au kufanywa vilema kabisa kisa "pesa za walezi"
Hawa wacheza kung fu waliikosa hiyo hela AMBAYO BINAFSI NASHAURI IELEKEZWE KUMWAGILIA ULE UWANJA ULIOKONDEANA NA KUPAUKA UTADHANI NGOZI YA LILE LI JAMAA ROPOKAJI
*NAONA WATU WANA COMPARE NA HELA ALIYOTOA BASHITE KWA KMC KUIFUNGA YANGA>>>>>>Kmc hawajawahi kuwa na shida ya usafiri kombe la shirikisho, kmc kamwe hawakuwa na maagizo ya kwenda kuvunja viungo vya wachezaji wa utopolo kwa makusudi
Kinachotokea mwaka huu ni uhuni na umafia , imbeciles are so desperate
Mlezi akaibukia siku ya mechi ya simba na box lenye burungutu la hela kwamba wakishinda kuna milioni 15 wakitoa sare kuna milioni kumi, walipata hiyo kumi ingawa jana wamepapaswa kimoja hapohapo nyumbani labda kwa vile mlezi hakuhangaika na hiyo mechi
Mlezi mwingine naye ni vilevile ,milioni 15 kwa kumi ila huyu katia fora kwa kweli maana ni kama vile kulikuwa na maagizo pembeni na hela zaida za dodoma jiji kucheza kung-fu ,macho ya wadau yamefunguka kwamba kuanzia sasa kila mechi lazima wachezaji wa simba waumizwe au kufanywa vilema kabisa kisa "pesa za walezi"
Hawa wacheza kung fu waliikosa hiyo hela AMBAYO BINAFSI NASHAURI IELEKEZWE KUMWAGILIA ULE UWANJA ULIOKONDEANA NA KUPAUKA UTADHANI NGOZI YA LILE LI JAMAA ROPOKAJI
*NAONA WATU WANA COMPARE NA HELA ALIYOTOA BASHITE KWA KMC KUIFUNGA YANGA>>>>>>Kmc hawajawahi kuwa na shida ya usafiri kombe la shirikisho, kmc kamwe hawakuwa na maagizo ya kwenda kuvunja viungo vya wachezaji wa utopolo kwa makusudi
Kinachotokea mwaka huu ni uhuni na umafia , imbeciles are so desperate