Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,932
Faiza nimeamini wewe ni jeshi la mtu mmoja, na sijawahi ona umeshindwa dhidi ya hawa wakristo wanaokukashifu na kukukejeli.
Nasema hivi wewe ni kiboko yao, wao wako mamia wakikuchangia lakini hakuna aliyeweza. So wamebakia kukutolea maneno mabaya kama kawaida yao