Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,314
- 24,177
Wanaume tumeumbwa kuzitawala nyumba zetu.
Na hili ni pamoja na mke na watoto na wote wanaolala nyumbani mwako.
Na hii ndio maana ya kichwa cha familia.
Kuna huyu Ndg Komba, yeye si kichwa bali mkia wa familia.
Anaeleza kuwa , huwa anasokomezwa makonde mazito mazito na mkewe!
Mimi bado sijamwelewa vizuri ana tatizo gani!
Je wandugu hili tatizo lipo?
Na tunalitatuaje?