🤣🤣🤣🤣Fala ilo linafikiria kula sifa. Hafu eti linaomba mtaji wa kuuza mayai.
Jitu linalokula chapati 45 na chupa nzima ya chai ulipe mayai ya kuchemsha likauze si litakula trei 20.
Mapepo hayo sio yeye. Kuna simulizi nyingi za watu km hao,ambao anaweza kuwa na mapepo kadhaa ampaka yashibe yenyewe ndo jamaa anaacha kula.
Halafu mbaya zaidi eti linaomba serikali imsaidie,linaumwa kweli.Fala ilo linafikiria kula sifa. Hafu eti linaomba mtaji wa kuuza mayai.
Jitu linalokula chapati 45 na chupa nzima ya chai ulipe mayai ya kuchemsha likauze si litakula trei 20.
Mfano angekuwa dogo wako halafu anakupigia simu kaka ntakuja huko kwako na mke wangu na mtoto kutafuta vibarua.ntakaa kwa mwezi mambo yakiwa mazuri nahamia kwangu..utafanyaje?Kilo 4 baba+ mke kilo 3 +mtoto kilo 1= familia kilo 8 kila mlo.
Siku moja 8x2= 16 kilo
Hivi kilo ya unga au mchele shingapi !?
Kilo 16x siku 30 = 480 kilo kwa mwezi
Kwa mwaka 480xmiezi 12=5760 yani ni tani kwa watanzania watatu.Bado mtoto hana kuwa hapo
Kilo 4 baba+mke kilo 3+mtoto kakuwa 3= familia kilo 10 kila mlo
Siku moja 10x2=20 kilo
Kilo 20x siku 30=600 kilo kwa mwezi
Mwaka 600xmiezi 12=7200 hapo mtoto anaendelea kukua wametumi tani 7.2
Asante kwa kula
Mfano angekuwa dogo wako halafu anakupigia simu kaka ntakuja huko kwako na mke wangu na mtoto kutafuta vibarua.ntakaa kwa mwezi mambo yakiwa mazuri nahamia kwangu..utafanyaje?
🤣🤣🤣 ukigegedwa huwa unacheka?Ahahaaaa nimecheka kweli usiku huu watu. Nje wakadhani nagegedwa
Atajifilisi mtajiMtu ana uwezo wa kula kwa mama ntilie chakula chote hicho lakini anaomba mtaji wa kuuza mayai