Ukipanga ndani ya soko unalipa tozo.Hakika machinga na kina mama wauza mboga mboga na matunda kwenye mabeseni na pembezoni mwa barabara wameishika sharubu serikali
Siku hizi hata hawasubiri jioni, miji mingine saa tano mchana unakuta barabara hazipitiki, parking zimezibwa, watembea kwa miguu ndo hawana hata pa kukanyga
Ole wake mgambo awaguse! Mkurugenzi hana kazi!
DC wa Morogoro yeye ameamua kukopa kwa ajili ya kuwajengea mabanda, halafu Cha ajabu mabanda yamejengwa palipoandaliwa Kama parking ya soko kuu la Chief kingalu.
Yaani ndani ya soko maduka na vioski viko empty halafu DC anakopa pesa kuwajengea mabanda nje ya soko. Kwani wangepewa vibanda humo ndani hawawezi fanya kazi!? Soko limejengwa likaliwe na mijusi na popo au nini!!
Nje ya soko Kuna kibanda machinga kapewa bure na halipi tozo.
Huyu kijana alikua very intelligent alipokua cdm. I am wondering what went wrong.