Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,396
- 6,363
Nimatokeo ya Sera mbovu 'ineffective policies"Wana Jf,
Ukisikia kila mkoa una majeshi ya serikali, lakini jeshi butu lisilo na siraha wala chombo chochote hatarishi, jeshi la machinga lilijijengea nguvu za kutisha kiasi kwamba linaogopeka sana.
Jeshi hili nimeshuhudia pale Kariakoo wakiondoa magari yanayoegeshwa kwa ajili ya parking system watumishi wakitishiwa na wateja wa maduka wakiondoa garibaldi nao. Ukikaidi kuondoa basi kama tairi haitatatobolewa basi utakuta hakuna upepo.
Jeshi la machinga limethubutu kuifanya mwendokasi akifika maeneo yao atembee mwendo wa kinyoga sana huku akiwakwepa kwa umahili. Tanesco wanashangaa nguo kupangwa kwenye transforma
Tanroads hasa ndio kabisa nguzo za kuongozea taa zinazibwa.
Hivi hawa wanaodaiwa ndio wapiga kura hivi ndio walipa kodi wakubwa kiasi hicho cha kupendelewa?
View attachment 1941877