OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,070
- 23,980
Hahaha mbna hii nyundo kwenye Thor ya mwaka huu iliharibiwa kabisa na mwanadada mmoja iv jina nmesahau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mbna hii nyundo kwenye Thor ya mwaka huu iliharibiwa kabisa na mwanadada mmoja iv jina nmesahau?
hahaha anaitwa HELAHahaha mbna hii nyundo kwenye Thor ya mwaka huu iliharibiwa kabisa na mwanadada mmoja iv jina nmesahau?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh mzee baba nimeona avangers zoote ila hiko kipande sijakiona. Sidhani kama ni kweli
Salute..
Jana hapa JF kulikua na bonge la battle kati ya Injinia profeshino,TO CCNP Engineer na mtaalamu wa HKL Humble African ambapo ile motion yetu pendwa hapa nchini na duniani kwa ujumla "Money is better than Education ilikua inajadiliwa ambapo sisi ambao hata kidato cha pili hatukuvuka tulikua tuna like na kusoma tu. Mshindi akatoka upande unaosapoti pesa mkuu HA huku akimtupa mbaali TO na injinia wetu humu JF bwana @CCNP Engeneer.
Basi bwana usiku nikawa namcheki lecturers wangu namba 2 baada ya JF memba nilio wafolo Professor GOOGLE nikawa napita kuangalia Gadgets and Technology kutoka kwa mainjinia mbalimbali duniani ndipo nikakutana na huyu injinia aliniacha kinywa wazi kwa uwezo wake mkuuubwa wa ubunifu. Ametumia elimu yake kujiajili na kufanya vitu vya tofauti kabisa kwenye jamii (Kamshinda huyu TO wetu)
Anaitwa James Hobson a.k.a Hacksmith ni Injinia,mbunifu na mtengenezaji wa video za YouTube. Hua anachukua idea za uongo kutoka kwenye Video games, movies na Comics mbalinbali. Huyu jamaa hua anatengeneza yale tunayoyaona kwenye movie za avangers,X man, Star war, na games mbalimbali na kutengeneza mfano wake (replica).
Katengeneza vitu hivi
Nyundo ya Thor god of Thunder.
- Suti ya Iron man
- Ngao ya Captain America ambayo ina electromagenetic anaweza kuivuta popote,pia suti yake
- Makucha ya X man ambayo yanazama ndani na kurudi nje
- Psylocke's psionic Sword (X man Apocalypse)
- Lightsaber ya kwenye Star wars.
Huyu jamaa kavunja rekodi kabisa baada ya kutengeneza replica ya nyundo ya Thor ambayo anaweza kuinyenyua yeye pekee yake. Kaiwekea Electromagenetic na fingerprints scanner ambayo inamwezesha kunyenyua hiyo nyundo yeye pekee tu.
Huyu jamaa namfananisha na mtaalamu wa uvumbuzi Thomas Edison ambae alimfundisha mke wake wa pili Morse Code ili wawe wanawasiliana kwa ishara ya vidole pindi wazazi wa mke wake wakiwepo.
>>>>Morse code is a method of transmitting text information as a series of on-off tones, lights, or clicks that can be directly understood by a skilled listener or observer without special equipment. It is named for Samuel F. B. Morse, an inventor of the telegraph.
Au nimfananishe na bwana Kim ung-yong ambae aliweza kuongea lugha 4 alipokua na miaka 2, aliweza kufanya hesabu za aljebra akiwa na miaka 3, alialikwa wanafunzi wa fizikia chuoni alipokua na miaka 4, alialikwa Marekani kwenye kitengo cha NASA akiwa na miaka 7, alipata PHD yake akiwa na miaka 15, alikua na IQ ya 210.
ikumbukwe mimi nilipokua nina miaka 15 nilikua najifunza jinsi ys kujibu kitabu cha Mabala the Farmer.
Mnaweza kumuangalia Youtube na Facebook huyu Hacksmith muone kazi zake.
Ma-Injinia wa Tanzania upande wa Teknolojia mna lipi la kujifunza toka kwa huyu mbunifu..?
https://www.facebook.com/thehacksmith/
Tchao
Da'Vinci.
Ukiichek Thor, Rognarock... Kama sijakosea title.Duuh mzee baba nimeona avangers zoote ila hiko kipande sijakiona. Sidhani kama ni kweli
Vision, alikuwa apigiki yule, mwamba.... Angalia End gameni kweli kamanda, vision aliinyanyua, irudie ultron, kipande cha katikati somewhere pale avengers wana kamkutano na vision, ndipo alipoinyanyua kutoka mezani na kumpatia mwenyewe 'thor'
Umeongea kitu kikubwa sana, mtu aki jitafuta ndan, atakuwa Pro kwa kile alicho nacho...The thing is,i dont know what am capable of??!!
We dont have time to find it out,
What we have to do is always unknown
Iyo battle iko wapi mkuu niipitieHuyu jamaa huyu sijui ana ubongo gani yanii..
nishaicheki sana atleast kwa wiki naicheki mara tatu.. hata kwenye endgame Captain america kaitumia kumpiga Thanos, tena ilimfata yenyeweUkiichek Thor, Rognarock... Kama sijakosea title.
Alikutana na kisanga, cha sis wake... Nyundo yenyewe aliipasua.
sis wake(Hela)ndio alikua wa kwanza kutumia ile Hammer, ndio akaja ThorUkiichek Thor, Rognarock... Kama sijakosea title.
Alikutana na kisanga, cha sis wake... Nyundo yenyewe aliipasua.
Yeeeeeeep hivyo ndivyo ilivyokua kuna muda Steve alitumia Mjolnir na Stormbraker maana alipigwa hadi ngao ikapasuka, thor akamwambia nipe hiyo kubwa chukua haka kadogo(mjolnir)sis wake(Hela)ndio alikua wa kwanza kutumia ile Hammer, ndio akaja Thor
Thor akatengenezewa Stormbreaker na Eitri wa Nidavillir
kwenye Endgame alivyorudi nyuma ya mda aka ipata nyundo yake(kabla ya kufufuka kwa Hela)
Steve Rogers akawa worthy na kuweza ku weild both Stormbreaker na Mjolnir
Iyo battle iko wapi mkuu niipitie
Hao jamaaa wananifanya nitafakar mambo mengi sana, sichoki movie za aina hyo.nishaicheki sana atleast kwa wiki naicheki mara tatu.. hata kwenye endgame Captain america kaitumia kumpiga Thanos, tena ilimfata yenyewe