Kutana na Hawa vijana wa Uganda wanaotengeneza baiskeli Kali kwa bamboo

Huu ndio ubunifu sasa sio bunifu ambazo zinafanyika Bongo ambazo zipo miaka 50 nyuma. Yes tumia simple materials ila iwe bora kuliko ya sasa sio vinginevyo
 
Kimsingi bamboo ni ngumu na very hard... Kuna maeneo zinatumika kama mbadala wa nondo kwenye zege... Bamboo zinaaminika kuwa imara sana....
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom