Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,954
- 2,439
- Thread starter
- #461
Picha zaidi utazipata ktk page yangu ya istagram. Fundi mahiri wa ujenziView attachment 862778
Picha zaidi utazipata ktk page yangu ya istagram. Fundi mahiri wa ujenziView attachment 862778
Serikali za mitaa/Mwenyekiti wa mtaa ndio anahusika hapo.Habari zenu wadau?..... Kwa wale wajuv, naomba kujua juu ya mchakato kabla ya kuanza ujenzi, je ni lazima kufuatilia kibal cha ujenzi ofisi za ardhi? Je ili kupata hcho kibal kuna gharama za kulipia? Zip?...... Kama si lazima bas ipi njia salama ktk mchakato (kujenga) kuepuka kubomolewa.......,.... Eneo lenyewe ni jpya watu ndio wanaingia kujenga na viwanja vng havijapmwa including lang........ Ur opinion plz/tafadhal
Serikali za mitaa/Mwenyekiti wa mtaa ndio anahusika hapo.
Serikali za mitaa/Mwenyekiti wa mtaa ndio anahusika hapo.
Hivi kujenga chumba kimoja na sebule kwa kutumia tofali 700 gharama za ufundi hadi kupaua ni Shangapi?Karibuni
Vitu vinavyosaidia kujua Bei iwe kiasi gani ni Kama vifuatavyo:Hivi kujenga chumba kimoja na sebule kwa kutumia tofali 700 gharama za ufundi hadi kupaua ni Shangapi?
Na gharama zote za ujenzi ni kiasi gani