Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Hapana, sijachanganya madawa, najua ninachoongea. Siku hizi inabidi lazima ujiongeze. Kama wewe ni fundi mzoefu na unajua unachokifanya na umekuwa ukijenga kuanzia msingi mpaka mtu anahamia utashindwaje kutoa tathimini ya nyumba. Kama wewe mjenzi unapewa ramani, unashindwa hata kutoa copy ramani hiyo ili siku mteja akiwa anatafuta ramani umtwange naye, basi utakuwa fundi wa hovyo. Ukiwahitaji watu watatu tofauti gharama zake nazo zinakuwa kubwa zaidi, sasa pesa yenyewe iko wapi sasa hivi ya kufanya hivyo, makampuni tu yanauwezo huo sisi watu binafsi. Tunahitaji three in one. Nakukabidhi kiwanja unanipatia nyumba, sio uniambie wewe hujui kupiga rangi.
Haswaa.. wanaita "Turn key"
 
Je, unahitaji Fundi mzuri wa tiles ?,0693179844
IMG_20190720_151605_550.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom