Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Wakati unanitumia vipimo vya mita ulielewa ukubwa wake? Mm nilidhani wewe no mhindi na unataka kujenga Nyumba kama za India .
Kwa vipimo ulivyonipa Nyumba hiyo inaweza zidi ukubwa wa nusu kiwanja

Ndio mkuu...ni vizuri tukaonana
 
Nipo kwenye mchakato wa kutaka kujenga apartment za nzuri na bora lakini kwa bei nafuu. Ziwe stadard zinazoweza kukaliwa na watu wenye kipato cha kati. Nataka kujua round figure ya gharama zake kwa apartment za vyumba viwili na vilevile vitatu. Vyumba viwili kuwe na master moja, living room, dining, kitchen/small store, public toilet. Nafahamu kuwa ukijenga kwa kuunganisha kama ni nyingi gharama inashuka, sasa nifanyie wastani wa gharama ya kujenga apartment 12 za vyumba viwili zilizojengwa kama nyumba moja kwa design ambayo wewe unaijua. Then angalia gharama ya apartment 4 za vyumba vitatu ikijengwa pamoja na apartments 6 zenye vymba viwili. Just provide me with an average cost of the complete apartment which includes all costs of construction materials plus labour, nyumba iliyo tayari kutumika. Thanks
Hapo naona kama umechanganya madawa ndg yangu. Huyo jamaa ni fundi ujenzi kwa maana ya contractor na sio architect wala QS. Hizo ni kazi za watu watatu tofauti umeongelea hapo, ungeanza na kuchora ramani, then ungem-consult QS (mkadiriaji majengo) akupe makisio halafu mwisho ndio unamtafuta huyu mtoa mada kwa ajili ya kukujengea
 
IMG_20190405_144802.jpg
 
Hapo naona kama umechanganya madawa ndg yangu. Huyo jamaa ni fundi ujenzi kwa maana ya contractor na sio architect wala QS. Hizo ni kazi za watu watatu tofauti umeongelea hapo, ungeanza na kuchora ramani, then ungem-consult QS (mkadiriaji majengo) akupe makisio halafu mwisho ndio unamtafuta huyu mtoa mada kwa ajili ya kukujengea

Hapana, sijachanganya madawa, najua ninachoongea. Siku hizi inabidi lazima ujiongeze. Kama wewe ni fundi mzoefu na unajua unachokifanya na umekuwa ukijenga kuanzia msingi mpaka mtu anahamia utashindwaje kutoa tathimini ya nyumba. Kama wewe mjenzi unapewa ramani, unashindwa hata kutoa copy ramani hiyo ili siku mteja akiwa anatafuta ramani umtwange naye, basi utakuwa fundi wa hovyo. Ukiwahitaji watu watatu tofauti gharama zake nazo zinakuwa kubwa zaidi, sasa pesa yenyewe iko wapi sasa hivi ya kufanya hivyo, makampuni tu yanauwezo huo sisi watu binafsi. Tunahitaji three in one. Nakukabidhi kiwanja unanipatia nyumba, sio uniambie wewe hujui kupiga rangi.
 
Hapana, sijachanganya madawa, najua ninachoongea. Siku hizi inabidi lazima ujiongeze. Kama wewe ni fundi mzoefu na unajua unachokifanya na umekuwa ukijenga kuanzia msingi mpaka mtu anahamia utashindwaje kutoa tathimini ya nyumba. Kama wewe mjenzi unapewa ramani, unashindwa hata kutoa copy ramani hiyo ili siku mteja akiwa anatafuta ramani umtwange naye, basi utakuwa fundi wa hovyo. Ukiwahitaji watu watatu tofauti gharama zake nazo zinakuwa kubwa zaidi, sasa pesa yenyewe iko wapi sasa hivi ya kufanya hivyo, makampuni tu yanauwezo huo sisi watu binafsi. Tunahitaji three in one. Nakukabidhi kiwanja unanipatia nyumba, sio uniambie wewe hujui kupiga rangi.
Well said
 
Hapana, sijachanganya madawa, najua ninachoongea. Siku hizi inabidi lazima ujiongeze. Kama wewe ni fundi mzoefu na unajua unachokifanya na umekuwa ukijenga kuanzia msingi mpaka mtu anahamia utashindwaje kutoa tathimini ya nyumba. Kama wewe mjenzi unapewa ramani, unashindwa hata kutoa copy ramani hiyo ili siku mteja akiwa anatafuta ramani umtwange naye, basi utakuwa fundi wa hovyo. Ukiwahitaji watu watatu tofauti gharama zake nazo zinakuwa kubwa zaidi, sasa pesa yenyewe iko wapi sasa hivi ya kufanya hivyo, makampuni tu yanauwezo huo sisi watu binafsi. Tunahitaji three in one. Nakukabidhi kiwanja unanipatia nyumba, sio uniambie wewe hujui kupiga rangi.
pole sana ndugu yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom