Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,954
- 2,439
- Thread starter
- #1,001
SawaHizi picha utakua unaiba tu mitandaoni, huna uwezo wa kujenga nyumba kama hii
SawaHizi picha utakua unaiba tu mitandaoni, huna uwezo wa kujenga nyumba kama hii
SawaWewe sio fundi ila ni dalali. Unachofanya ni kutafuta mafundi na kuwasimamia huku ukilipwa pesa nyingi na kuwapa kidogo hao mafundi unaowaleta.
Si wanabana matumizi au?! Af itakaa sawa we subiri iishe utajionea mwenyewe. Itapendeza hiyoAnhaa Ndio Mmeamu Reiforcement ya Column kuwa na hizo Steelbars nne tu?
Hata mimi alinisababishia hasara huyu jamaa. Ukuta ulipinda.Ewaaa,
Sahihi kabisa.
Nilimuita nikampa kazi. Nilimuona siku ya kwanza na ya mwisho wakati wa kuchukua hela tu.
Kwa kipindi chote Cha ujenzi zimekuja batch kama nne hivi tofauti. Yaani wanakuja Hawa Leo, kesho au keshokutwa hawarudi wanakuja wengine, amenipa hasara ya kubomoa nyumba na kuijenga upya. Maana nyumba ilikua dhaifu sana.
🥱🤭🤭🙆Hata mimi alinisababishia hasara huyu jamaa. Ukuta ulipinda.
Huyu Mzee hashindi saiti. Mkishapatana tu humuoni bali vibarua wake wa kuokoteza okoteza. Utakuja kumuona siku mafundi wameshalipua wanataka ChaoHata mimi alinisababishia hasara huyu jamaa. Ukuta ulipinda.
Ukimpa hela ya vifaa ndio utajuta zaidi na hata ukiacha vifaa huwa vinaishia kuuzwa usipokuwepo.Huyu Mzee hashindi saiti. Mkishapatana tu humuoni bali vibarua wake wa kuokoteza okoteza. Utakuja kumuona siku mafundi wameshalipua wanataka Chao
usicheke sema ukweli kama wewe ni dalali tu, acheni masikhara na fedha watu utakuja kujuta. Unajua wanaokotwa kwenye viroba wamefanya nini?🥱🤭🤭🙆
Kwahiyo na wewe umewaamini?usicheke sema ukweli kama wewe ni dalali tu, acheni masikhara na fedha watu utakuja kujuta. Unajua wanaokotwa kwenye viroba wamefanya nini?
Kumbe wewe ni tapeli, UZI UFUNGWE
Kumbe wewe ni tapeli, UZI UFUNGWE
Kama kweli upo timamu, unajisikiaje kumuita mtu tapeli ambaye hata humjui.Kumbe wewe ni tapeli, UZI UFUNGWE