Jayfour
Senior Member
- Feb 20, 2011
- 114
- 11
Nisaidieni wataalam wa lugha yetu kutamka herufi hizo kwa kiswahili...nakumbuka shuleni tulifundishwa ila sasa nimeshasahau kwasababu sijasikia wengine wakitumia. Ninazozikumbuka tulizofundishwa ni: a, be, che, de.
Natamani nijue matamshi ya herufi zote ili niwe natumia kutamka vifupisho kama BBC, TBC, . ITV, AU, CCP, tlp, cndd, cnn, n.k kwa kujiamini.
Natamani nijue matamshi ya herufi zote ili niwe natumia kutamka vifupisho kama BBC, TBC, . ITV, AU, CCP, tlp, cndd, cnn, n.k kwa kujiamini.