Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 15,958
Hii kitu sio siri,ni ngum sana kumzuia mtu asitamani yaan,iwe umeoa au hujaoa ,single and wateva,pande zote,sina uhakika kwa wanawake lakin.
Yaan upo na mtu,umemwacha nyumban,huna hata hamu nae yan,na ni mtoto mkali tuu,hata mashine haisimami kwake.
Unatoka nje unapishana na dada anauza matunda au bar maid unamtamani had unachanganyikiwa.mnara unasoma 6G
Hii inatokea mara kwa mara na kupelekea ku conclude kwamba
Hata kama umeoa ,hujaoa,una dem unampenda sjui nin,ishu ya kutaman theen kucheat naona ni natural phenomena
Uzi tayar
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan upo na mtu,umemwacha nyumban,huna hata hamu nae yan,na ni mtoto mkali tuu,hata mashine haisimami kwake.
Unatoka nje unapishana na dada anauza matunda au bar maid unamtamani had unachanganyikiwa.mnara unasoma 6G
Hii inatokea mara kwa mara na kupelekea ku conclude kwamba
Hata kama umeoa ,hujaoa,una dem unampenda sjui nin,ishu ya kutaman theen kucheat naona ni natural phenomena
Uzi tayar
Sent using Jamii Forums mobile app