tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
mimi ni mfanyakazi wa serikali. nina mke na mtoto. kazi yangu inanilipa vizuri tu. nahitaji kutembelea Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi ya wiki moja mwanzoni mwa march,2011. natafuta taarifa za visa requirements kwa internet sijapata. naomba kama kuna mtu anajua anipe hints.