Yawezekana wasahihishaji ndio hawajui.Wanaosahisha si ma ostaz hao hao
Yawezekana wasahihishaji ndio hawajui.Wanaosahisha si ma ostaz hao hao
Malalamiko ya ufaulu yangetafsiriwa kuwa ni hujuma ili kuikandamiza dini fulani, waliamua vizuri.Na bora serikali walivofanya paper za dini ziwe ni benefits kwa candidate na sio kuwa credit za kwenda high education
Yawezekana hujisahau na mtihani kwa kishahili huanza kuandika kutokea julia.Mnakaririshwa madude ya ajabu ajabu. Mara sijui unaanza kusoma kutokea kulia kwenda kushoto, Sasa kwa nini msifeli.
Wazungu hawa hawa wasio na habari na Mungu au wana Mungu wao wenyewe tofauti na huyu tunayemjua sisi?Yote mawili
Saiv wanatumia nn??Kuna waziri mmoja wa miaka ya nyuma alikomalia suala la matumizi ya namba badala ya majina ktk mitihani. Ilipokubalika idadi ya waislamu wanaofaulu ikaanza kuongezeka. Inawezekana na kwenye Islamic knowledge kukawa na shida fulani.
waliosahihisha huo mtihani si ndio wale walimu wao waliowafundisha? Mmeanza kale katabia kenu kakulalamika ovyo siyo?Baraza la mitihani waangalie.
Imekuwaje hakuna wastani mzuri katika somo la Elimu ya Dini ya Kiislam kwenye matokeo ya kidato cha nne?
Kuna walakini katika usahihishaji.
Serikali ifanye uchunguzi.
Ili ukweli ubainike. Kama ni watoto wote waliofanya somo hilo hawana uwezo wa kupata A tujue. Ripoti itolewe na iwe wazi kwa kila mtu kuisoma. Ili wazazi waondoa malalamiko yao baada ya kujua kwamba watoto wao hawana uwezo wa kufaulu grade A ya somo hilo.
Asante
Islamic Knowledge ni ngumu kuliko Rocket Science, ieleweke hivyo
Mkuu hizi dini ni project za watu , na wana watu wao wanawaitaji kwa malengo ya baadae so shukuru ulichojifunza ,maana A au F haikupunguzii chochoteNilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)
Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%
Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.
Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.
Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.
Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISTS .
Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Hili ndio suala la msingi..masomo wafundishane huko madrasa au Sunday school..wajaziane maks wenyewe.
Serikali haina dini nashangaa kuundekeza huu upuuzi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yangu alisimamiaga paper necta, madogo baada ya kupiga paper one, hawakurudi kupiga paper two, walipoulizwa kila mmoja anasonya tu!!!
Vipi kuhusu hisabati ?
Duh , akil za waislam bn , wao wanahisigi serikali nzima ni wakristu au waislam ambao wapo kweny system hawaupend uislam , too funnyMitihani ya waislam wanasahihisha wakristo unategemea nn
Itakuwa wanasahihisha manaswara ambao wao wenyewe hawajui maswali wala majibu!Nilisoma Madrasa, Quran naifahamu vizuri, Fiqih naifahamu vizuri, Hadith nazifahamu nyingi ( Nipo vizuri mwenye elimu ya dini)
Shule ya msingi na secondary nilikuwa muhudhuriaji mzuri wa vipindi vya dini kwa 95%
Mitihani ya test na ile ya kumaliza muhula kupata "A" ilikuwa ni kawaida sana.
Mtihani wa dini wa Taifa mwaka 2012, hakuna swali ambalo sikulifahamu, nilijibu maswali yote tena kwa kujiamini.
Matokeo yalipotangazwa....Nilikutana na "F" ya Islamic knowledge.
Aisee hadi leo huwa na jiuliza au wasahihishaji walikuwa BUDDHISTS .
Sikuhitaji kukata rufaa kwa sababu zangu binafsi.
Na wanazuoni waliokamilika katika ilmu ya dini ya Islam wanasisitiza uewe mahiri katika lugha ya Kiarabu ili upate kitu sahihi toka katika Quran Takatifu, hadithi za Mtume na maswahaba wake ukizingatia kufahamu mazingira, utamaduni, desturi, mila na lugha ya kipindi hicho Quran ilipoteremshwa na maandiko mbalimbali ya maswahaba wa mtume waliyeishi naye .
Ndiyo maana unaona maimamu, masheikh hufuata utaratibu wa aya zisomwe kwanza ktk lugha ikiyotumika wakati Kitabu Kitakatifu kilipoteremshwa halafu tafsiri hufuata kwa Kiswahili, Kiingereza, Kireno n.k ili kuepuka maana ya neno au aya nzima kunukuliwa vibaya.
Tatizo sisi waTanzania tunachukulia lugha mzahamzaha iwe hata Kiswahili chenyewe hatukimanyi vizuri iwe kwa kuandika maandishi sahihi, kutamka na hata kufahamu maana kadhaa katika mukstadha wa matumizi yake.
Hapo basi tumefeli kupata mabingwa wengi wa kuuzungumza na kutumia lugha kwa usahihi iwe katika dini, mawakili wabobezi ktk huduma za kisheria katika lugha za Kiswahili, Kiingereza na Kiarabu wakati wa kufundisha, kusomesha, kutoa elimu ya dini au hata kufanya uwakilishi mzuri wa hoja katika mahakama kwa upande wa Mawakili.
Hii kitu ipo Sana .......matokeo ya somo hili huwa ndo Ivo ...ukijitahid ukapata C we n mtabe sijui ni mini kinafanyika ....japo watu wanakaa kimya but naamini kuna kitu hakipo sawa.
Kuna marks na grading
Unaweza pata marks 90 ila ukawekewa grade D
Duh , akil za waislam bn , wao wanahisigi serikali nzima ni wakristu au waislam ambao wapo kweny system hawaupend uislam , too funny