Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,329
- 6,447
Sasa Mhe. Rais Samia Hassan Suluhu anasema juhudi zimefanyika kudhibiti wizi wa Tanzanite pale Mererani. Juhudi hizo ni pamoja na ujenzi wa ukuta wa umbali kama km 25 hivi, na kuweka ulinzi wa JWTZ. Lakini bado Tanzanite inaondoka kama mwanzo. Neno hilo limemfanya mpaka CDF 'ametikisika kwenye kiti.' Yale tuliyoyaona na kupiga picha na Rais ni yaliyokamatwa!
Maswali: 1. hao waliotoa taarifa ya madini kutoroshwa, mbona awakutoa hiyo taarifa wakati wa hayati Dr. JPM? 2. Je, CDF ana kesi ya kujibu? 3. Hivi hapa Mhe. Rais anaongea kama vile ni kurusha jiwe gizani?
Maswali: 1. hao waliotoa taarifa ya madini kutoroshwa, mbona awakutoa hiyo taarifa wakati wa hayati Dr. JPM? 2. Je, CDF ana kesi ya kujibu? 3. Hivi hapa Mhe. Rais anaongea kama vile ni kurusha jiwe gizani?