HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,910
- 6,587
Nimeondoka na hakuna kikaukacho mapema kama chozi la wapenda nao. Shukrani na kwaheri.
huyo mwanamke hana akili kabisa. hata kama wamepatana hakupaswa kuwakejeli waliomsaidia, siku nyingine mwacheni afie huko ndani.
^^
Ni kweli, lakini kwa nini sehemu kubwa ya wanaosuluhishwa hugeuka tofauti?
Ablessed njoo usaidie hapa
^^[/QUOTE Himidini nashukuru kwa wito wako maana huko nilikokua nimetoka nduki ili kuwahi wito. Ni kweli mambo ya wanandoa usiingilie hata kama wanatoana ngeo wewe kaa mbali nao. Mmoja wao anaweza kukueleza mambo ya kutisha anayofanyiwa na mwenzi wake lkn kamwe usithubutu kutia lako lbd kama utaweza jitahidi kuwa positive na usisitize kuvumiliana . Usijifanye una huruma sana na unamasikitiko juu ya yanayomsibu ndugu huyo manake akitoka hapo wewe ndio utakua mbaya. Yaani ulivyoelezea ni mambo halisi yanayotokea kwenye jamii kila uchao.
Afadhali hawa wanaoleta hapa jf manake hatuwaoni/hatuwajui na wao hawatujui ndio maana inakua rahisi kuwashauri lkn ktk ushauri wetu ambao huwa tunawapa ni wachache sana wanaoufanyia kazi na hasa ukiwa ule, "oooh huyo achana nae hakufai".