kusuka au kunyoa!!!

Mtu wa Pwani

JF-Expert Member
Dec 26, 2006
4,184
671
kipindi hiki kifupi kuna mambo mengi yamejitokeza

mengine yametushangaza na kutuhunisha na kutuacha vinywa wazi

hivi ni kweli haya tunayoyasikia yanatokea nchini kwetu Tanzania au .....

tumesikia waandishi kutiwa tindi kali kwa wengine baada ya muda mfupi kuhojiwa na tume ya Richmond

huko nyuma baadhi ya wabunge walinena wanatishiwa maisha yao na watu wasiojulikana.

marehemu dada yetu Amina(RIP) pia aliwahi kuteta kuwa kuna watu wanamtishia maisha yake.

leo tunasikia mengine yametokea kiteto hatujatulia vyema sasa mambo yamefika JF


inanikumbusha ile nyimbo yetu ya kitoto

Nyooka huyooo yuko Makunduchi husema na apite

nyoooka huyooo yuko muyuni husema naapite

kidogo kidogo hadi nyoka anakaribia miguuni


na si muda tunapiga kelele mwenzetu lakiwa na nyoka



kwa wale wenye rika kama langu wanaikumbuka vyema nyimbo hii, huyu nyoka sasa naona keshapea na anahatarisha maisha ya watu na nyimbo hii inaonyesha jinsi kuona na apite maadam anapita kwa mbali hatudhuru sie si tatizo.


wakati tunao wa kuamua kusuka au kunyoa.


ni kuamua kwa makusudi kukomesha vitendo hivi na kuwafichua na kuwawajibisha wenye mchezo huu mchafu wa kutishia amani ya taifa letu kipenzi.


hili si suala la vyama maana vyama vyote pia wabunge wao walionesha kuwa wanatishwa na nyoka huyu hata wajumbe wa tume karibuni walieleza kutishwa na nyoka huyu


nyoka huyu tumsakeni na tumuue uwanjani mchana kweupee ili liwe funzo kwa wengine
 
kipindi hiki kifupi kuna mambo mengi yamejitokeza

mengine yametushangaza na kutuhunisha na kutuacha vinywa wazi

hivi ni kweli haya tunayoyasikia yanatokea nchini kwetu Tanzania au .....

tumesikia waandishi kutiwa tindi kali kwa wengine baada ya muda mfupi kuhojiwa na tume ya Richmond

huko nyuma baadhi ya wabunge walinena wanatishiwa maisha yao na watu wasiojulikana.

marehemu dada yetu Amina(RIP) pia aliwahi kuteta kuwa kuna watu wanamtishia maisha yake.

leo tunasikia mengine yametokea kiteto hatujatulia vyema sasa mambo yamefika JF


inanikumbusha ile nyimbo yetu ya kitoto

Nyooka huyooo yuko Makunduchi husema na apite

nyoooka huyooo yuko muyuni husema naapite

kidogo kidogo hadi nyoka anakaribia miguuni


na si muda tunapiga kelele mwenzetu lakiwa na nyoka



kwa wale wenye rika kama langu wanaikumbuka vyema nyimbo hii, huyu nyoka sasa naona keshapea na anahatarisha maisha ya watu na nyimbo hii inaonyesha jinsi kuona na apite maadam anapita kwa mbali hatudhuru sie si tatizo.


wakati tunao wa kuamua kusuka au kunyoa.


ni kuamua kwa makusudi kukomesha vitendo hivi na kuwafichua na kuwawajibisha wenye mchezo huu mchafu wa kutishia amani ya taifa letu kipenzi.


hili si suala la vyama maana vyama vyote pia wabunge wao walionesha kuwa wanatishwa na nyoka huyu hata wajumbe wa tume karibuni walieleza kutishwa na nyoka huyu


nyoka huyu tumsakeni na tumuue uwanjani mchana kweupee ili liwe funzo kwa wengine

Amen mkuu Mtu wa Pwani...

Hili ni swala tete na gumu na inabidi watu wote tuungane hapa kukemea kabisa huu uhuni unaotaka kuanza hapa.
 
Mtu wa Pwani
God is our shepherd,Even though we walk through the valley of the shadow of death, we will fear no evil,because he's with JF.

JF IS HERE TO STAY IN THE PRESENCES OF ENEMIES,WE KNOW WHERE FORMS OF ATTACKS COME FROM.
FORTIFY YOURSELF WITH WEAPONS AND LET US MATCH FORWARD WITH HEART COURAGEOUS.
THEY ARE FETCHING WATER WITH BASKETS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom