barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,322
- 29,583
Mbunge Lema asema aliyoyasema bashe si sawa
Na hayafai kabisa
Pambaneni mpate wabumge wengi bungeni, sio kupiga kelele wakati nyie ndio minority, ndio demokrasia hiyo. Yaani Lema anataka wabunge wa sisiemu wawe kama wabunge wa chadema?? THAT WILL NEVER HAPPEN. Wengi ndio wanafanya maamuzi.
Pia ni wapi INALAZIMIKA kwa mbunge wa sisiemu kwenda kumjulia hali Lissu huko huko??
Lema acha kulia lia, siasa mmezishindwa.