Sijazungumzia kuacha kazi mkuu. Nimeongelea kustaafu kwa hiari. Kuwacha kazi na kustaafu ni vitu viwili tofaut. Jifunze kuelewa kabla ya kuandika chochote na kuposti
Ni vizuri ungesema hukubaliani Na Mawazo Yao Sio kusema hujaelewa
Ninachokueleza maana ya retirement maana yake Ni kuacha kisheria kufanya kazi kutokana Na sababu za Umri hiyo ndio maana ya kustaafu Sasa unaposema iwe anytime isomeke kastaafu maana yake hata kijana wa Miaka 25 asomeke kastaafu Sasa wakati gani itasomeka kaacha kazi Au unataka neno kuacha kazi liwe sawa Na neno kustaafu?