Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu lako ni sahihi ila maneno uliyotumia yanachoma....MKUU TUNATOFAUTIANA KIPATO.
Mtu mwenye uwezo wa kumsomesha mtoto shule nzuri hawezi kamwe kumpeleka kayumbaz.Ukiona watoto wako wako kayumbas kuwa mpole mkuu najua hupendi ila imekubidi
Akikua atapata connection kirahisi fikiria mwanao kasoma na mtoto was bhakresa atakosa mchongo kweli?MKUU TUNATOFAUTIANA KIPATO.
Mtu mwenye uwezo wa kumsomesha mtoto shule nzuri hawezi kamwe kumpeleka kayumbaz.Ukiona watoto wako wako kayumbas kuwa mpole mkuu najua hupendi ila imekubidi
Napenda kujua hv mtoto kusoma shule hz za kulipia ada kubwa kuanzia 5m n.k na hizi za ada laki 5 harafu wote mnakutana mlimani au st joseph nini faida zake....
Roho/mawazo ya masikini aliyekata tamaa hayaMaisha hayana kubembeleza, Maisha ni mchaka mchaka, maisha ni mapambano. Endeleeni kuwaonyesha watoto na wajukuu zenu ufahari na kiburi cha fedha mlizonazo lakini mwisho wake upo karibu zaidi.Mtoto hajui kugombea chakula, hajui kugombea daladala, hajui kuzipga kavu kavu bila refa, mtoto hajui kumkoromea mwenzake, mtoto njaa kwake ni msamiati.Mtoto hajui kuuza kokoto wala kuuza karanga. Chanzo cha ubunifu wowote duniani ni changamoto ambazo mtu anapitia, hakuna ubunifu ukiwa umekulia katika meza ya mfalme. Imekuwa inatisha namna ambavyo wazazi wamekuwa wakitumia kiasi kikubwa cha fedha kulipa ada za shule wengine wakiwa hali zao ni duni lakini wakifuata mkumbo.
Unamlea mwanao maisha ya kichokoraa.Maisha hayana kubembeleza, Maisha ni mchaka mchaka, maisha ni mapambano. Endeleeni kuwaonyesha watoto na wajukuu zenu ufahari na kiburi cha fedha mlizonazo lakini mwisho wake upo karibu zaidi.Mtoto hajui kugombea chakula, hajui kugombea daladala, hajui kuzipga kavu kavu bila refa, mtoto hajui kumkoromea mwenzake, mtoto njaa kwake ni msamiati.Mtoto hajui kuuza kokoto wala kuuza karanga. Chanzo cha ubunifu wowote duniani ni changamoto ambazo mtu anapitia, hakuna ubunifu ukiwa umekulia katika meza ya mfalme. Imekuwa inatisha namna ambavyo wazazi wamekuwa wakitumia kiasi kikubwa cha fedha kulipa ada za shule wengine wakiwa hali zao ni duni lakini wakifuata mkumbo.
Akishindwa kukuelewa atakuwa na tatizo kwa akili yake.Kwanza kabisa kaa ukijua million 5 kwa watu wengine ni km ww unavyoiona 5000. Kuna watu wanapata 20million mpka 50 million per month, unataka ampeleke mwanae kayumba for what? Nd tofauti zenu ni lifestyle, mwenzio hajasoma kwa stress. Ni kama kucompare mbwa wa kizungu wa kylie jenner marekani na mbwa koko wa tandale. Wote ni mbwa but maisha ndo hivyo tena
Maisha hayana kubembeleza, Maisha ni mchaka mchaka, maisha ni mapambano. Endeleeni kuwaonyesha watoto na wajukuu zenu ufahari na kiburi cha fedha mlizonazo lakini mwisho wake upo karibu zaidi.Mtoto hajui kugombea chakula, hajui kugombea daladala, hajui kuzipga kavu kavu bila refa, mtoto hajui kumkoromea mwenzake, mtoto njaa kwake ni msamiati.Mtoto hajui kuuza kokoto wala kuuza karanga. Chanzo cha ubunifu wowote duniani ni changamoto ambazo mtu anapitia, hakuna ubunifu ukiwa umekulia katika meza ya mfalme. Imekuwa inatisha namna ambavyo wazazi wamekuwa wakitumia kiasi kikubwa cha fedha kulipa ada za shule wengine wakiwa hali zao ni duni lakini wakifuata mkumbo.
Soma vizuri na ukiwa umeshiba utanielewaNakuombea na wewe upate pesa maana una akili zile za kimasikini ,maisha walioishi babu zetu au wazazi wetu usitake na wengine waishi hivyo hivyo dunia imebadirika
Nadhani we ndio wale wazazi unataka mtoto aende shule na shati iliyochakaa na viatu kisa wewe uliweza kusoma hivyo ni ujinga.