Habarini wadau natumaini muwazima
Niende mojakwamoja kwenye mada
Mimi nikijana mwenye umri wamiaka 27 nina mpenzi wangu ambae tumekubaliana kuoana lakini haniamini kua nampenda anahisi kuwa nina mtu mwingine tumekuwa na ugomvi mienzi miwili iliyopita kutokana na kutokuaminiana .
Ila tumefikia muafaka wakilammoja ashike simuyamwenzake lakini napia amesema kutokana namimi ninasafiri kilamara haitakua suluhisho.
Ila nimekuja kwenu kuomba kama kuna anayejua application yasimu ambayo inaweza kutoa tarifa za SMS na call kutoka kwamtumwingine naweza anisaidie ili tuendelee kujenga mahusiano yetu sababu ndionjia rahisi yakuaminiana
SHUKRANI
Niende mojakwamoja kwenye mada
Mimi nikijana mwenye umri wamiaka 27 nina mpenzi wangu ambae tumekubaliana kuoana lakini haniamini kua nampenda anahisi kuwa nina mtu mwingine tumekuwa na ugomvi mienzi miwili iliyopita kutokana na kutokuaminiana .
Ila tumefikia muafaka wakilammoja ashike simuyamwenzake lakini napia amesema kutokana namimi ninasafiri kilamara haitakua suluhisho.
Ila nimekuja kwenu kuomba kama kuna anayejua application yasimu ambayo inaweza kutoa tarifa za SMS na call kutoka kwamtumwingine naweza anisaidie ili tuendelee kujenga mahusiano yetu sababu ndionjia rahisi yakuaminiana
SHUKRANI