Kusoma text za mpenzi wangu

sina demu

Senior Member
Jul 25, 2019
165
98
Habarini wadau natumaini muwazima

Niende mojakwamoja kwenye mada

Mimi nikijana mwenye umri wamiaka 27 nina mpenzi wangu ambae tumekubaliana kuoana lakini haniamini kua nampenda anahisi kuwa nina mtu mwingine tumekuwa na ugomvi mienzi miwili iliyopita kutokana na kutokuaminiana .

Ila tumefikia muafaka wakilammoja ashike simuyamwenzake lakini napia amesema kutokana namimi ninasafiri kilamara haitakua suluhisho.

Ila nimekuja kwenu kuomba kama kuna anayejua application yasimu ambayo inaweza kutoa tarifa za SMS na call kutoka kwamtumwingine naweza anisaidie ili tuendelee kujenga mahusiano yetu sababu ndionjia rahisi yakuaminiana

SHUKRANI
 
Demu anakuendeshaje kiasi hicho??? Kama hakuamini achape lapaa yani ujitegeshee app ya kujidukuaa ili umridhishe yeye..?? Vip yeye au wew ukiwa unatumia line na simu nyingine???

Uaminifu hauji kwa kuchungana kama mbuzi ila kwa kujitambua na kuheshimu mahusiano yenu
 
Back
Top Bottom