D
Deleted member 536137
Guest
Nchi hii bhana yaani kuna mtu amekaa akawaza weee na kuwazua akaona kwamba kusoma vyuo kama Oxford,Cambridge na Havard ndio unaweza mshauri Rais wa Tanzanaia
Wanasahau kwamba HAKUNA Rais hata mmoja wa Tanzania hii amewahi soma hivyo vyuo
Sometimes sikilizeni kwanza mnayoambiwa
#ChangeTanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasahau kwamba HAKUNA Rais hata mmoja wa Tanzania hii amewahi soma hivyo vyuo
Sometimes sikilizeni kwanza mnayoambiwa
#ChangeTanzania
Sent using Jamii Forums mobile app