Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
ubora wa taaluma inayotolewa na open university na vyuo vikuu vingine kama UDSM ,UDOM n.k unafanana ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa ubora usipime. ila wao no class, its a distance learning institution.[/
Kwa Open university, kuna wengine wanaingia darsani kama wa MBA, Executive and evening ila kuna wale wengine wa distance. Ila kama watu hawaingii class alafu wanafaulu je ingekuwa na wao wanaingia class kama wengine ingekuwaje?
By the way masomo ni yale yale 2,ila ukizubaa unaweza kujikuta unapga 1st degree kwa miaka 20.
true!lazima ujitume sanaby the way masomo ni yale yale 2,ila ukizubaa unaweza kujikuta unapga 1st degree kwa miaka 20.
kwa ubora usipime. ila wao no class, its a distance learning institution.[/
Kwa Open university, kuna wengine wanaingia darsani kama wa MBA, Executive and evening ila kuna wale wengine wa distance. Ila kama watu hawaingii class alafu wanafaulu je ingekuwa na wao wanaingia class kama wengine ingekuwaje?
hakuna lolote huko. watu wanafanyiwa course work zao udsm. sasa hiyo quality unayosema ikowapi?
<br />kwa ubora usipime. ila wao no class, its a distance learning institution.
<br />By the way masomo ni yale yale 2,ila ukizubaa unaweza kujikuta unapga 1st degree kwa miaka 20.
Duh!...Mkuu hii kali sana,kwa hiyo unaweza kuanza 1st degree mkeo akiwa mjamzito,then ukaja piga discussion na mwanao.lol!By the way masomo ni yale yale 2,ila ukizubaa unaweza kujikuta unapga 1st degree kwa miaka 20.
<br /><br /><br />
<br /><br />
safi sana!
<br /><b><span style="font-family: comic sans ms">Duh!...Mkuu hii kali sana,kwa hiyo unaweza kuanza 1st degree mkeo akiwa mjamzito,then ukaja piga discussion na mwanao.lol!<br />
kuna limit kiongozi ya muda wa kogelea katika hiyo 1st degree mkuu,haifiki miaka 20.</span></b>
By the way masomo ni yale yale 2,ila ukizubaa unaweza kujikuta unapga 1st degree kwa miaka 20.
<br />Hahahahaha duh unarudia rudia kama darasa la 4
Duh!...Mkuu hii kali sana,kwa hiyo unaweza kuanza 1st degree mkeo akiwa mjamzito,then ukaja piga discussion na mwanao.lol!
kuna limit kiongozi ya muda wa kogelea katika hiyo 1st degree mkuu,haifiki miaka 20.