Kusoma online open university of tanzania- law certificate

FRELIMO

Member
Apr 12, 2014
42
4
Heshima ziwekwenu wanajamvi naomba kujua namna ya kujiunga na kusoma online katika chuo kikuu huria kozi ya sheria-results ni Geo-C,ENG-C,KISW-D,CIVICS-D,HIST-D,BIO-F,MATH-F dev 4-28.msaada kwa anaejua hata ushauri unatakiwa kama upo asanten.
 
Back
Top Bottom