Kusoma Masters na PhD UDSM ni kutafuta ugonjwa wa moyo

We endelea kudemka tu humu. Nimekuambia supervisor nilipoona Hana msaada nikajisomea mwenyewe na wakati mwingine marafiki walinisaidia kuisoma kazi ilipokamilika ndo nikampelekea asaini. Nitapita hv. Anayesahihisha Dissertation Ni External Examiner.
Mh ni Chuo gani hiki? Maana kama ulisoma kwa Coursework ni wazi kuwa ili Proposal yako iwe tayari kupresentiwa katika ngazi mbalimbali ni lazima comments za Supervisor wako zihusike...........Ila kama ni kwa Thesis pia proposal hupitia hatua ambazo comments za supervisor wako zinabeba uzito na kwa habari ya External lazima grades ziwe mbili za Internal na za External.............Thesis/Dissertation haiwezipelekwa kwa External au haiwezikupewa grade ya mwisho bila kuwepo ile ya Internal Supervisor (Huyo unayesema ni wa kutia muhuri tu).......... Mkuu share with us umefanyaje ili nasi tumalize zetu aisee......
 
2003 nlikua UDSM aka Jalalani nkiwa mwaka wa pili kuna prof mmoja marehemu kwa sasa alikuja darasani na chupa ya chai saa saba mchana jua inawaka baada ya kipindi sikurudi tena pale maana nliamini atakua chizi.....
Dah!😀
 
Inategemea na subsistence allowance na pesa ya project unayopewa na sponsor........mtu unalamba daily allowance dola 100 na mil. 100 kwa ajili ya research project siyo kitoto....kibongobongo ndo utasikia allowance buku 10 na research mil.4..
Duuh..hapa bongo au mamtoni hiyo hela inapatikana?

#MaendeleoHayanaChama
 
mnasooooooma!!!! mnacomplicate maisha tuuu, kuna aliyeskika akisema kusoma sana ni uoga wa maisha.

Mbona kuna watu wengi tuu, hawajasoma kiiiiiiiiiivo na maisha yao yapo supa/vizuri sana kuzidi hata ya maprofesa.

Hivi hapo UDSM kuna profesa gani, PhD holder gani au hata master's holder gani wa kumzidi pesa au maisha, mbunge msukuma wa darasa la saba au hata Dimond Platnams mtoto wa juzi tu hapa? Na hapo sijawataja wengine wengi tuuu.

Guys, kuna njia nyingi za kujiongeza tokeni shule tafteni pesa. Huo muda mngetumia kubuni namna ya kupata pesa.
Kila mtu na maisha yake..hao darasa la saba waliofanikiwa ni wangapi..wewe umemuona msukuma tu..acha watu wasome wawezanvyo..kuna watu wanakula mema ya nchi hii kwa kalamu tu..wewe endelea kubeba zege na kuziba barabara kwa umachinga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Waliopita pale watanielewa sana. Kozi ya miaka miwili unaweza kusoma miaka minne. Kozi ya miaka mitatu au minne, unaweza kusoma miaka saba.

Visizingizio kibao. Supervisor anaweza kikaa na kazi yako miezi miwili bila kurudisha majibu. Inafika sehemu unakata tamaa anaamua kufanya mambo yako mengine.
UDSM haiwezi kufikia kwa SUA
 
Kichwa kibovu hicho Mr. Dalali endelea kuuza magri used na kutafutia watu vyumba vya kupanga
No Mkuu.......Soma kwa Malengo....... Usisome kwa kukariri au kwa sababu flani amesoma............Kama moja inakutosha INATOSHA. Usimbeze mwenzako kwa kutokusoma MA.
 
mnasooooooma!!!! mnacomplicate maisha tuuu, kuna aliyeskika akisema kusoma sana ni uoga wa maisha.

Mbona kuna watu wengi tuu, hawajasoma kiiiiiiiiiivo na maisha yao yapo supa/vizuri sana kuzidi hata ya maprofesa.

Hivi hapo UDSM kuna profesa gani, PhD holder gani au hata master's holder gani wa kumzidi pesa au maisha, mbunge msukuma wa darasa la saba au hata Dimond Platnams mtoto wa juzi tu hapa? Na hapo sijawataja wengine wengi tuuu.

Guys, kuna njia nyingi za kujiongeza tokeni shule tafteni pesa. Huo muda mngetumia kubuni namna ya kupata pesa.
Mliofeli shuleni huwa mna wivu sana nakutumia nfano wa msukuma ka role model wenu kujifariji huku yeye msukuma kaamua kusomesha wanawe feza Ili kujua umuhimu wa shule. Shule huondoa ujinga na mambo mengi sio tu utegemee ikupe utajiri
 
Mliofeli shuleni huwa mna wivu sana nakutumia nfano wa msukuma ka role model wenu kujifariji huku yeye msukuma kaamua kusomesha wanawe feza Ili kujua umuhimu wa shule. Shule huondoa ujinga na mambo mengi sio tu utegemee ikupe utajiri
Asante my dear
 
Ila wana win maisha tunawasubiria na vibasha vya kachi milagoni ku waomba kazi....mtu kasoma masters na PhD kwa miaka saba, anakuja kulipwa gross salary ya 2m anaona ameweza maisha, ambao ni sawa sawa na 65,000 kwa kila siku nayo pata hapa kwenye kiduka changu na am the manager of my self........sina bugudha yoyote
Acha kujifariji mkuu
 
Hapo wanasoma waheshimiwa na wanajua malipo wanayokubaliana na supervisor mbali na tuition fee.

Kama wewe ni kabwela ni kheri usome Open University.
 
Back
Top Bottom