Kusoma Masters na PhD UDSM ni kutafuta ugonjwa wa moyo

Chuo gani hicho ambacho supervisor anakuja ku sign, chuo nilichosoma lazima ipitie kwa wasomaji wawili na iende kwenye panelists ya department au taasisi u defend mbele ya zaidi ya kumi na ushee hivi.
Sasa ma prof wengi huwa wako busy na mambo ya department unakuwa umeandika vizuri yeye hana mda wa kusoma na hata yeye aki sign kaxi inaenda kusahishwa na watu tofauti kuanzia internal na external examiners loh.
Sasa hcho chuo chako mhhh
Umepiga chuo gani?
 
Waliopita pale watanielewa sana. Kozi ya miaka miwili unaweza kusoma miaka minne. Kozi ya miaka mitatu au minne, unaweza kusoma miaka saba.

Visizingizio kibao. Supervisor anaweza kikaa na kazi yako miezi miwili bila kurudisha majibu. Inafika sehemu unakata tamaa anaamua kufanya mambo yako mengine.
Poleni sana, ndio maana nilikimbilia nchi za watu kufanya MSc na PhD yangu, ni balaa hapa bongo kwa wanafunzi.
 
Kusoma master na PhD in waste of time and energy
Inategemea na subsistence allowance na pesa ya project unayopewa na sponsor........mtu unalamba daily allowance dola 100 na mil. 100 kwa ajili ya research project siyo kitoto....kibongobongo ndo utasikia allowance buku 10 na research mil.4..
 
Nazungumzia contribution ya supervisor ilikua almost ZERO nikaamua kutokumtegemea Sana nikahangaika mwenyewe. Yeye kila ukimpelekea kazi ama hasomi kabisa au arekebishe comma (,) na grammar. Technical hamna kitu. So nikamuelewa vizuri Sana kuwa mm nipambane.
Hamna mtu anayetegemea supervisor amwandikie ni wewe unaandika yeye ni guidance na kupitia tu basi sasa supervisor wako hagusi kazi zaidi ya miezi mitatu na unakuwa unafatilia yeye yuko busy na kila correction unayofanyia unatengeneza matrix ila yeye hapitii kabisa, hapo una laumuje supervisor. Au tuseme wewe ulisoma chuo tofauti na jalalani na hicho chako utaratibu tofauti so usione watu wajinga humu
 
Sitoi kitu yangu hovyo mzee I spoke with someone akani help juu kwa juu huko ikaisha na ilikuwa kila kitu kiko sawa yani usumbufu tu wa hovyo. Dah master yangu nimeipata kwa machozi na machungu aisee
Hahaha..ni bora kumtafuta supervisor ambaye unaona huyu mtaenda sawa...
 
Nazungumzia contribution ya supervisor ilikua almost ZERO nikaamua kutokumtegemea Sana nikahangaika mwenyewe. Yeye kila ukimpelekea kazi ama hasomi kabisa au arekebishe comma (,) na grammar. Technical hamna kitu. So nikamuelewa vizuri Sana kuwa mm nipambane.
Mkuu ulivo gudua kwamba supervisor alikua zero ukaamua kujisahisha na kusoga mbele..... hivi wewe ukituona hapa kwenya hivi viduka vyetu vya nguo unafikiri hatukufika chuo kikuu au?.....acha uongo wako
 
Waliopita pale watanielewa sana. Kozi ya miaka miwili unaweza kusoma miaka minne. Kozi ya miaka mitatu au minne, unaweza kusoma miaka saba.

Visizingizio kibao. Supervisor anaweza kikaa na kazi yako miezi miwili bila kurudisha majibu. Inafika sehemu unakata tamaa anaamua kufanya mambo yako mengine.
kusoma masters na pHd ni woga wa maisha, fanyia kazi hiyo Bachelor yako itakutoa tu.

Vijana wengi wanaunga master ili wajiriwe, wajanja wanasoma digree , masters ni baada ya kujua eneo la kubobea.
 
Waliopita pale watanielewa sana. Kozi ya miaka miwili unaweza kusoma miaka minne. Kozi ya miaka mitatu au minne, unaweza kusoma miaka saba.

Visizingizio kibao. Supervisor anaweza kikaa na kazi yako miezi miwili bila kurudisha majibu. Inafika sehemu unakata tamaa anaamua kufanya mambo yako mengine.
mnasooooooma!!!! mnacomplicate maisha tuuu, kuna aliyeskika akisema kusoma sana ni uoga wa maisha.

Mbona kuna watu wengi tuu, hawajasoma kiiiiiiiiiivo na maisha yao yapo supa/vizuri sana kuzidi hata ya maprofesa.

Hivi hapo UDSM kuna profesa gani, PhD holder gani au hata master's holder gani wa kumzidi pesa au maisha, mbunge msukuma wa darasa la saba au hata Dimond Platnams mtoto wa juzi tu hapa? Na hapo sijawataja wengine wengi tuuu.

Guys, kuna njia nyingi za kujiongeza tokeni shule tafteni pesa. Huo muda mngetumia kubuni namna ya kupata pesa.
 
Tunao soma masters na PhD wengi ni watoto wama peasants tunategemea kukombolewa na elimu ya juu tu, hamna mtoto wa bourgeoisie anae soma ma phd hayo....its only to make you an organised madman and a professional poor.
Watoto wa matajiri nao akili chenga tu, hiyo kutoboa kidato cha nne tu ni mtihani....
 
Endelea kushangaa na kulalama huku kichwa kibovu. Unadhani Supervisor anajali nn na yeye yake yanamnyookea? Shughuli ipo kwako wewe mwanafunz
Wewe ni undergraduate, hata uandishi wako tu unaonesha hivyo. Watoto wadogo kama wewe hukimbilia kejeli badala ya hoja.
 
mnasooooooma!!!! mnacomplicate maisha tuuu, kuna aliyeskika akisema kusoma sana ni uoga wa maisha.

Mbona kuna watu wengi tuu, hawajasoma kiiiiiiiiiivo na maisha yao yapo supa/vizuri sana kuzidi hata ya maprofesa.

Hivi hapo UDSM kuna profesa gani, PhD holder gani au hata master's holder gani wa kumzidi pesa au maisha, mbunge msukuma wa darasa la saba au hata Dimond Platnams mtoto wa juzi tu hapa? Na hapo sijawata wengine wengi tuuu.

Guys, kuna njia nyingi za kujiongeza tokeni shule tafteni pesa. Huo muda mngetumia kubuni namna ya kupata pesa.
Huu ushauri ungempa chifu hangaya na jopo lake la machifu maana hata msukuma huwa anapata matibabu yake huko maeneo ya gambushi.
 
Tunao soma masters na PhD wengi ni watoto wama peasants tunategemea kukombolewa na elimu ya juu tu, hamna mtoto wa bourgeoisie anae soma ma phd hayo....its only to make you an organised madman and a professional poor.
ESAMI sikuwahi kuwaona watoto wa maskini wakisoma PhD na Masters.
 
Back
Top Bottom