Kusoma Masters na PhD UDSM ni kutafuta ugonjwa wa moyo

You seem so desperate kuukwepa ukweli. TZ watu wengi hukimbilia kusoma kwa sababu it is the only way to succeed, waajiriwe wapate mishahara in short ni wavivu wa kujishughulisha=waoga.

unasoma unakuwa phd holder unakutana na std seven mwenye analytic minds kuliko wewe na maisha ameyapiga. Unapostaafu ndipo unamwendea kujifunza namna ya kuhusstle...pathetic
Pia wapo std 7 hawana mwelekeo maisha yamewapiga.
Kufanikiwa ni vile Mungu amepanga ndugu
Unaweza kupambana sana kitaa na bado hutoboi.
Kama ndivyo tungekuwa na maisha ya kiwango kinachofanana lakini sio kweli.
 
Waulize wametumia muda gani?
Masters na PhD inategemea Mambo mawili makubwa...Kwanza ni discipline yako mwenyewe katika kusoma na kufanya utafiti...pili ni supervisor...lakini hili la pili Kama supervisor anazingua ni jukumu lako wewe kumtafuta supervisor mwingine kupitia department na college yako...kinachosumbua wengi ni discipline ya mwanafunzi mwenyewe katika kufanya utafiti na report writing...hapo ndipo lilipo tatizo ..wengi wanakwenda kusoma wakiwa na majukumu mengi Kama ya kazi na ujasiriamali..hapo utachukua miaka mingi...
 
Kusoma Masters/PhD Ni speed yako. Tatizo we unadhani Supervisor ndo asome kazi yako bila wewe kusoma na kuandika kwa bidii.
NB; Mimi Supervisor alikua kama kivuli tu (alikuja kusaini document) maana nilijua atanizingua toka day 1 na nilimaliza Masters ndani ya miezi 18 iliyoainishwa kwenye admission letter.
You got a point here. Katika level ya Masters na/au PhD ukisubiri Supervisor ndo aanze kukuchase wewe ili umpelekee kazi aiangalie, utamaliza baada ya 5 years, if you are lucky
 
Hizi ndicho PhD zilizokuwepo kwneye baraza? Endelea kuwataja na wengine tafadhali angalau wafike watano.
Naona umeamisha magoli, kutoka hakuna aliyesoma nchini mpaka wafike watano.

1. Magufuli

2. Nchemba

3. Nchimbi

4. Ndalichako
 
Masters na PhD inategemea Mambo mawili makubwa...Kwanza ni discipline yako mwenyewe katika kusoma na kufanya utafiti...pili ni supervisor...lakini hili la pili Kama supervisor anazingua ni jukumu lako wewe kumtafuta supervisor mwingine kupitia department na college yako...kinachosumbua wengi ni discipline ya mwanafunzi mwenyewe katika kufanya utafiti na report writing...hapo ndipo lilipo tatizo ..wengi wanakwenda kusoma wakiwa na majukumu mengi Kama ya kazi na ujasiriamali..hapo utachukua miaka mingi...
Sasa ujasiriamali wa mwanafunzi unamcheleweshaje kusoma paper mpk miezi mitatu iishe?
Tatizo hawana utaratibu wa kukutana na wanafunzi mara kwa mara.
Kukutana na wanafunzi mara Kwa mara angalau mara moja kwa wiki Kunasaidia kujua kazi hata akishika kusoma tayari inakuwa rahisi kutuatilia.
 
Pale jangwani maji yanafurika kila mwaka, je hao MADOKTA NA MAPROF WA HAPO JALALANI wamesaidia vipi kumaliza hii shida?

Au hapo jalalani hakuna maprof wa ujenzi na maji?
Shida ni mifumo mkuu, na sio wataalamu nchi ya rushwa hii hupofusha mambo mengi
 
Kila mtu anafanya kile moyo unapenda.
Wewe akili za darasani huna kwanini ujisumbue kusoma Degree, Masters au PhD?
Wote hatuwezi kujiajili kama ilivyo wote hatuwezi kupata pesa za utajili.

Mungu hutoa talanta kwa kila mmoja kulingana na vile yeye anapenda.
 
Waliopita pale watanielewa sana. Kozi ya miaka miwili unaweza kusoma miaka minne. Kozi ya miaka mitatu au minne, unaweza kusoma miaka saba.

Visingizio kibao. Supervisor anaweza kukaa na kazi yako miezi miwili bila kurudisha majibu. Inafika sehemu unakata tamaa anaamua kufanya mambo yako mengine.

Kwa bongo kusoma ni kupoteza muda na umri wako babaa. Kazi za ujenzi wa barabara, mabwawa, umeme na reli wanatumiwa wataalamu wa nje na co waswahili,,,kwanza waswahili hawawezi bila kusukumwa, pili sio wataalamu na kuji2ma hata umpe mgodi auendeshe ama kuusimamia hawezi ni m2 wa kuharibu, mwisho wa cku anaipa hasara serikali.

Tunarudi masomoni,,,,Sasa miaka 7 ya primary, miaka 6 ya sec,, mi5 yadegree, 7 master=25 years wewe bado unasoma tuuu 😁😁 at end of the day unakoswa kaz umekaa nyumbani huna kazii unamtegemea mama/baba akulishe. Almost 25 years umeupoteza muda masomoni. Ujinga m2pu.
 
FB_IMG_1631719988543.jpg
 
Ndugu yangu alifanya MBA UDSM aliishia kujutia uamuzi wake. Vituko haviishi, mara supervisor kaenda huku mara vile. Alimaliza lakini alipoteza muda sana
 
mnasooooooma!!!! mnacomplicate maisha tuuu, kuna aliyeskika akisema kusoma sana ni uoga wa maisha.

Mbona kuna watu wengi tuu, hawajasoma kiiiiiiiiiivo na maisha yao yapo supa/vizuri sana kuzidi hata ya maprofesa.

Hivi hapo UDSM kuna profesa gani, PhD holder gani au hata master's holder gani wa kumzidi pesa au maisha, mbunge msukuma wa darasa la saba au hata Dimond Platnams mtoto wa juzi tu hapa? Na hapo sijawataja wengine wengi tuuu.

Guys, kuna njia nyingi za kujiongeza tokeni shule tafteni pesa. Huo muda mngetumia kubuni namna ya kupata pesa.
Endelea kusifia Mali za wanaume wenzio
 
Pale jangwani maji yanafurika kila mwaka, je hao MADOKTA NA MAPROF WA HAPO JALALANI wamesaidia vipi kumaliza hii shida?

Au hapo jalalani hakuna maprof wa ujenzi na maji?
hao maelimu yao ya makaratasi, hawawezi kitu, wanawavizia wachina wawasaidie.
 
Huwezi mpelekea asign kabla hujadefend walau proposal. Yaani yye asign tu iende kwa external? Plagiarism report inakua imekaguliwa saangapi?

Mimi nlisomaga masters hapo UDBS.... Kuna supervisors wengi wanasumbua kupitia references tu anakaa wiki mbili akirudisha ukituma anakagua spacing na indents!! Kiufupi wanafanya maksudi. Mwaka wetu kozi mbili tuligraduate watano tu kati ya watu 20+ ambao walishakua wameanza research!!

So usipende kubisha for the sake .
Nyie Ndo walewale vichwa vibovu. Supervisor akakukagulie references? Seriously? Nyie Ndo dissertation in page 25 unasema una Masters?
 
Nyie Ndo walewale vichwa vibovu. Supervisor akakukagulie references? Seriously? Nyie Ndo dissertation in page 25 unasema una Masters?
Hvi paper inayokua published ina page ngapi? Kma hufaham hta proposal za UDBS limit ni 20 pages!!! Content quality inaangaliwa sio quantity ya page.

Kazi ya supervisor ni kukagua kazi nzima kabla hujasubmit so sio kweli unafanya kila kitu mwenyewe alafu yye aidhinishe tu!!

Ni prof.Kabudi tu ndio nimewahi sikia akidai dissertation yake haikufanyiwa correction yoyote and of course naweza muamini sababu hta GPA yake haijafikiwa.
 
Back
Top Bottom