Kusoma Masters na PhD UDSM ni kutafuta ugonjwa wa moyo

unapofanya kitu ambacho unataka kikuingizie maslahi angalia na jamii ya watu inayokuzunguka inahitaji au kupendelea nini?

Jamii kubwa ya watanzania na waafrica ni wavivu wa kusoma vitabu na kutembelea libraries sio kama wazungu.

Hapa bongo anayeandika vitabu hata kama ni profesa, na darasa la pili anaeimba mziki. Anaefanya mziki au kuigiza filamu kazi zake zitafuatiliwa na watu wengi zaidi ya profesa anaeandika vitabu. Mfano; mzuri ni kule youtube.

Mwisho wa siku anayepata faida zaidi ya mwingine ni muimba mziki.
Usiandike kitabu kwa ajili ta watanzania andika kwa ajili ta watu dunia mzima kitabu kitafsiriwe kila kona.
Mbona maktaba zetu hasa za vyuo vya elimu vimejaa vitabu vilivyoandikwa na wakenya na wanaijeria hata sisi tunaweza kuuza vitabu kwao.
Nikuulize swali,
Je kuna proffesa ana website yake ipo active na academics
Je kuna proffesa anafundisha kwa kutumia multimedia na app za kusasa dunuani.
Hapi juu nimekwambia proff Liang anainguza pesa kwa website access code.
Kuna mahala tuna kwama.
 
FB_IMG_1631720456282.jpg
 
Mwamba akipiga PhD in Chemistry hapo hapo Wala hakulalamika na tulikua tunakula nae RB Cafeteria 1 "Harvard' we Masters in Kiswahili ushajaa
 
kusoma jalalani Kuna heshima yake mkuu huko open university ni uchochoroni ukiwa na ya udsm unaogopeka sana loh.
Pale jangwani maji yanafurika kila mwaka, je hao MADOKTA NA MAPROF WA HAPO JALALANI wamesaidia vipi kumaliza hii shida?

Au hapo jalalani hakuna maprof wa ujenzi na maji?
 
Naombeni mchango na mimi nikasome MSc.Ph hapo NMIST, natanguliza shukrani zangu za dhati.
Mchango wa mawazo au hela?! Kama ni wa hela huna haja ya kuomba mchango pale NM-AIST kuna scholarships nyingi sana huwezi kukosa we nenda tu ukasome
 
mnasooooooma!!!! mnacomplicate maisha tuuu, kuna aliyeskika akisema kusoma sana ni uoga wa maisha.

Mbona kuna watu wengi tuu, hawajasoma kiiiiiiiiiivo na maisha yao yapo supa/vizuri sana kuzidi hata ya maprofesa.

Hivi hapo UDSM kuna profesa gani, PhD holder gani au hata master's holder gani wa kumzidi pesa au maisha, mbunge msukuma wa darasa la saba au hata Dimond Platnams mtoto wa juzi tu hapa? Na hapo sijawataja wengine wengi tuuu.

Guys, kuna njia nyingi za kujiongeza tokeni shule tafteni pesa. Huo muda mngetumia kubuni namna ya kupata pesa.
Kila mtu anafanya kile moyo unapenda.
Wewe akili za darasani huna kwanini ujisumbue kusoma Degree, Masters au PhD?
Wote hatuwezi kujiajili kama ilivyo wote hatuwezi kupata pesa za utajili.

Mungu hutoa talanta kwa kila mmoja kulingana na vile yeye anapenda.
 
Kila mtu anafanya kile moyo unapenda.
Wewe akili za darasani huna kwanini ujisumbue kusoma Degree, Masters au PhD?
Wote hatuwezi kujiajili kama ilivyo wote hatuwezi kupata pesa za utajili.

Mungu hutoa talanta kwa kila mmoja kulingana na vile yeye anapenda.

You seem so desperate kuukwepa ukweli. TZ watu wengi hukimbilia kusoma kwa sababu it is the only way to succeed, waajiriwe wapate mishahara in short ni wavivu wa kujishughulisha=waoga.

unasoma unakuwa phd holder unakutana na std seven mwenye analytic minds kuliko wewe na maisha ameyapiga. Unapostaafu ndipo unamwendea kujifunza namna ya kuhusstle...pathetic
 
Back
Top Bottom